The weekend has landed, weekend huwa tunatumia muda mwingi kuhakikisha mambo yanaenda sawa katika miili yetu na hata majumbani, ni muda wa mapumziko ambao tunatumia kusafisha nyumba, mavazi, na hata kufanya usafi wa mwili oh yes weekdays unakuwa na haraka na huna muda wa kutosha kujijali vizuri, weekend ndio muda maalum wa kusafisha nywele, kucha bila kusahau kuijali na kutunza ngozi yako, hizi ndizo njia 3 ambazo unaweza kufanya katika weekend kuitunza ngozi yako.
- Lala Vya Kutosha
Usingizi si tu bora katika furaha bali ni mzuri pia katika kutunza ngozi yako, huwa inashauriwa kulala masaa nane na zaidi ili ukiamka uwe una function vizuri lakini tunamdanganya nani? weekdays lazima kutakuwa na siku ambazo una shindwa kupata muda wa kupumzika masaa nane. Tumia weekend kulala masaa nane ikibidi unaweza kuongeza masaa machache mbele ili kupumzisha mwili na ngozi yako vyema.
Faida za kulala vya kutosha
- hupunguza mikunjo katika ngozi
- ngozi hujikarabati yenyewe usiku
- Your skin product may work better ( kama huwa unapaka skin care products usiku ukipata masaa mengi ya kupumzika unazipa product zako muda mwingi wa ku-function)
- Kufanya ngozi iwe na afya
- Fanya Facial
inawezekana kwenda kufanyia salon ni ghari unaweza kufanya facial nyumbani, uwe unatumia product za kununua au za asili hakikisha unafanya facial ili kusafisha ngozi yako na kuiacha katika hali nzuri, facial husaidia kuifanya ngozi iwe safi na yenye afya. Unaweza kuanza na kusafisha ngozi na cleanser, osha na paka mask yako kaa nayo kwa muda unaofaa na uondoe kisha moisturize ngozi yako
- GREEN TEA FACIAL MASK
- MANJANO,ASALI,NDIMU NA MTINDI FACIAL MASK
- Carrot Face Mask Kwa Ajili Ya Kung’arisha Ngozi
- Kuwa Make up Free
Week nzima inawezekana ukawa unapaka makeup wakati wa mihangaiko yako, yes a girl got to look good for work, na kuna muda unaweza kupitiwa ukapanda nayo kitandani na kulala nayo, well weekend ni muda muafaka wa kuacha ngozi yako ipumue na makemikali ambayo huwa unayapaka week nzima, kama una mtoko basi unaweza kupaka na usisahau kuitoa usiku lakini pia unaweza kuiacha ngozi yako ikiwa make-up free kwa masaa machache kabla ya kupaka na kwenda kwenye mtoko wako.
Related posts
4 Comments
Comments are closed.
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
… [Trackback]
[…] Find More on that Topic: afroswagga.com/urembo/njia-rahisi-za-kutunza-ngozi-yako-ya-uso-katika-weekend/ […]
… [Trackback]
[…] Find More to that Topic: afroswagga.com/urembo/njia-rahisi-za-kutunza-ngozi-yako-ya-uso-katika-weekend/ […]
… [Trackback]
[…] Find More here on that Topic: afroswagga.com/urembo/njia-rahisi-za-kutunza-ngozi-yako-ya-uso-katika-weekend/ […]
… [Trackback]
[…] Find More Information here on that Topic: afroswagga.com/urembo/njia-rahisi-za-kutunza-ngozi-yako-ya-uso-katika-weekend/ […]