Wanawake wengi wanakuza nywele zao vizuri kipindi cha ujauzito na zinakua vizuri lakini mara baada ya kujifungua nywele zinakatika hasa katika kingo za mbele (edges) hii ni kama desturi, Na kuzikuza kurudi zilivyokuwa huwa inachukua muda kidogo, lakini kuna namna ambavyo unaweza kutunza/kujali nywele zako ukaweza kukonyesha na nywele zako zikiwa katika hali nzuri tu.
- Kuwa Muangaliafu na uchaguzi wa Shampoo – Chagua shampoo ambazo zinajaza nywele kuliko zile conditioning shampoo, sababu conditioning shampoo nyingi zina chemical ambazo zina punguza uzito wa nywele zako kwa ajili ya muonekano mzuri kupunguza ujazo wa nywele.
- Chagua Conditioner inayofaa – chaagua conditioner zilizo tengenezwa kwa nywele nyepesi hizi nyingi huwa zina tengenezwa na viungo vya kuongeza uzito nywele hii itakusaidia kujaza nywele zako.
- Protective hair styles – ni vyema ukasuka misuko inayo kinga nywele zako na kukatika, misuko kama yeboyebo, sangita etc ile ambayo ukifumua unaweza kuchomoka nywele achana nayo zitakatika maradufu badala ya kuziongeza.unaweza kusuka njia tatu, mabutu nk.
- Tunza Afya Ya Mwili Wako -wanasema “a healthy body equals to healthy hair” kula vizuri,fanya mazoezi, usisahau kula vitamins hii haita saidia tu kujaza nywele zako bila kuwa fit mom na kupata beautiful skin.
- Tunza Nywele Zako Kama Unavyo Tunza Brazilian Weave Yako – tumia wide tooth comb,epuka kuchana nywele wakati zimeloa, ikiwezekana epuka kuweka dawa (relaxing) na kupaka rangi nywele katika kipindi hiki.
ni matumani yetu dondoo hizi zitakusaidia, ukipenda kujua namna ya kutunza nywele kavu bonyeza hapa
Related posts
1 Comment
Comments are closed.
HOT TOPICS
We need to have some sort of bima ila for enjoyment. Yaani wanakata ka % ka mshahara kako unakua na card ukienda se… https://t.co/W9oDoaN2YY
FollowSubscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
… [Trackback]
[…] Read More on that Topic: afroswagga.com/urembo/njia-za-kutunza-nywele-wakati-unanyonyesha/ […]