Hakuna anayefurahia chunusi, na hakuna anayependeza akiwa na chunusi, Chunusi zimekuwa zikiwapata sana watu wenye ngozi za mafuta. Juhudi za kuteketeza mafuta yanayozidi kwenye ngozi zinahitajika kwani ndio chanzo kikuu cha chunusi.
Leo na waletea Apple cider vinegar (siki ya apple) kama kipodozi asilia cha kuzuia na kutibu chunusi.

Apple cider vinegar ina sifa ya kuua bakteria kwa haraka sana, pia ina sifa ya kukausha mafuta kwenye ngozi kwa haraka sana.Ila inashauriwa usitumie mara kwa mara maana kadri unavyokausha mafuta na apple cider vinegar ndivyo tezi za mafuta zinaongeza kasi ya kuzalisha mafuta yaliyokaushwa.
MAHITAJI
- Siki ya apple (apple cider vinegar)
- Maji safi
- Pamba
MATUMIZI
- Osha uso na maji safi,hakikisha uchafu wote umetoa.
- Changanya kifuniko kimoja cha siki kwa vifuniko vitatu vya maji.
- Chovya pamba kwenye mchanganyiko na upake maeneo yenye tatizo,kaa nayo kwa dakika 10 kisha osha.
- Fanya hivyo mara nyingi uwezavyo kwa siku.
- Pia unaweza kupaka na ukalala nayo usiku kucha.
- Hakikisha unapaka moisturiser baada ya kutumia.
Related posts
HOT TOPICS
Happiness Magese Akionyesha Wanawake Warefu Namna Ya Kuwa Stylish: Kwa wanawake warefu huwa… https://t.co/VZ1jH2zJUg
FollowHappiness Magese Akionyesha Wanawake Warefu Namna Ya Kuwa Stylish: Kwa wanawake warefu huwa… https://t.co/689j7Yjcn0
FollowSubscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
Feza Kessy Atuelezea Kuhusu Fashion & Style Zake
Feza Tadei Kessy ni Muimbaji, Muigizaji lakini pia ni mtunzi wa nyimbo lakini pia Fezza ni former beauty queen ambapo mwaka 2005 alikuwa Miss Dar City Centre, Miss Ilala & Miss Tanzania Runner up. Lakini pia alishawahi kuwepo katika Reality Tv Show – Big Brother Africa. Kwa…