- KILE UNACHOKULA KINAATHIRI HARUFU YA MDOMO
- UNAKABILIANAJE NA TATIZO LA KUTOA HARUFU MBAYA KINYWANI ?
- JEE WAJUA ASALI, MDALASINI NA LIMAO INAWEZA KUKUONDOLEA HARUFU MBAYA KINYWANI!?
Vitu vitatu vikuu kukusaidia kuanza kunukia:
Asali halisi na mbichi ina sifa za kukabiliana na bakteria. Asali itaua bakteria wabaya wote ndani ya mdomo, tofauti na sukari ambayo huchochea kuzaliana kwa bakteria hao mdomoni.
Mdalasini huua bakeria wasababishao harufu mbaya. Kimsingi tunashauriwa kuwa na mazoea ya kutafuna mdalasini kila siku.
Na kwa hakika Muungano wa Kimataifa wa Utafiti wa Tiba ya Kinywa (International Association for Dental Research) uligundua kuwa watu waliotafuna mdalasini walibainika kupunguza maambukizi ya bakeria wabaya wa kinywa kwa asilimia 50%
Limao ina sifa ya kung’arisha meno. Ina ladha ya kupendeza, inayoburudisha, na husafisha kinywa kwa kuwaondoa bakteria waliojificha ndani kabisa ya fizi na meno.
Related posts
6 Comments
Comments are closed.
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
… [Trackback]
[…] Read More here to that Topic: afroswagga.com/urembo/ondoa-harufu-mbaya-kinywani-kwa-kutumia-mdalisini-limao-na-asali/ […]
… [Trackback]
[…] Find More on on that Topic: afroswagga.com/urembo/ondoa-harufu-mbaya-kinywani-kwa-kutumia-mdalisini-limao-na-asali/ […]
… [Trackback]
[…] Find More on that Topic: afroswagga.com/urembo/ondoa-harufu-mbaya-kinywani-kwa-kutumia-mdalisini-limao-na-asali/ […]
… [Trackback]
[…] Read More on that Topic: afroswagga.com/urembo/ondoa-harufu-mbaya-kinywani-kwa-kutumia-mdalisini-limao-na-asali/ […]
… [Trackback]
[…] Information to that Topic: afroswagga.com/urembo/ondoa-harufu-mbaya-kinywani-kwa-kutumia-mdalisini-limao-na-asali/ […]
… [Trackback]
[…] Information to that Topic: afroswagga.com/urembo/ondoa-harufu-mbaya-kinywani-kwa-kutumia-mdalisini-limao-na-asali/ […]