SUBSCRIBE NOW

* Afromate kuwa wakwanza kupata updates zetu za kila siku!

Trending News

Subscribe Now

* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!

Trending News

Pata Kujua Tofauti Ya Matatizo Ya Ngozi Kati Ya Wanaume Na Wanawake
Skin Care

Pata Kujua Tofauti Ya Matatizo Ya Ngozi Kati Ya Wanaume Na Wanawake 

So kuna hii meme vile imetrend sana na kwa vile tuko obsessed na skin care tuongelee hiyo imekaaje,meme hio inalinganisha mwanaume ambae anatumia taulo yake kufutia kila kitu na akiweka usoni haina shida ila kwa mwanamke ambae ana stick skin care routine yake bado chunusi zinagoma.

Kwanza ni hali ya kawaida na hiyo inachangiwa na sababu zifuatazo:

  • Vichocheo mwilini ndio vya kulaumiwa.

Wanawake wanapata mabadiliko ya homoni wakati wa hedhi, wakati wa ujauzito, na wakiwa wanaelekea kukoma hedhi. Wanawake hupata chunusi zaidi kwa sababu ya mabadiliko ya homoni kuliko Wanaume.-Madaktari hutoa dawa kwa ajili kucontrol homoni kama vidonge vya uzazi wa mpango kwa ajili ya wanawake.

  • Nini ujifanyie ukiona mabadiliko:


1. Kwanza jichunguze, ujue unapopata mabadiliko ya homoni kwa mfano ukiwa kwenye hedhi yako jiangalie jee unapata mabadiliko gani? Utulie usianze kutafuta vipodozi vipya, maana mara nyingi hali hiyo haidumu ukimaliza hedhi yako tu na chunusi zimeisha.


2. Pili Kama una ujauzito, ama unaelekea ukomo wa hedhi yako “menopause” uwe na amani kabisa maana chunusi zinaenda na kurudi.


3. Na wale wenye wanabadili vipodozi kila baada ya wiki moja yaani siku 7 unahitaji uvumilivu wakati mwengine ni vile ngozi yako tu inaamua kufanya hivyo.


4. Wanawake wanapata chunusi zaidi kuliko wanaume kwa sababu wao wanapitia mabadiliko ya vichocheo mwilini ambayo hufanya chunusi kuja kwa wingi zaidi.


5. Relax, Cha kwanza ukiona mabadiliko yoyote kwenye ngozi yako jifunze kutulia. Huku unaangalia utaratibu wa nini ufanye sio ukimbilie vipodozi maana na vyenyewe vinachukua muda hadi uone matokeo, nazungumzia vile salama kwa matumizi ya binadamu kama unataka bandika bandua bado utakuwa hujatatua tatizo lako badala yake utakuwa unazidisha.
©️binturembo

Related posts

4 Comments

  1. สล็อตเว็บตรง

    … [Trackback]

    […] Find More to that Topic: afroswagga.com/urembo/pata-kujua-tofauti-ya-matatizo-ya-ngozi-kati-ya-wanaume-na-wanawake/ […]

  2. my company

    … [Trackback]

    […] Info on that Topic: afroswagga.com/urembo/pata-kujua-tofauti-ya-matatizo-ya-ngozi-kati-ya-wanaume-na-wanawake/ […]

  3. หมอไก่ at medical clinic

    … [Trackback]

    […] Info on that Topic: afroswagga.com/urembo/pata-kujua-tofauti-ya-matatizo-ya-ngozi-kati-ya-wanaume-na-wanawake/ […]

  4. Mushroom Golden Teacher

    … [Trackback]

    […] Find More here on that Topic: afroswagga.com/urembo/pata-kujua-tofauti-ya-matatizo-ya-ngozi-kati-ya-wanaume-na-wanawake/ […]

Comments are closed.