Wengi huwa tunasema kufanya mazoezi ni kazi na tunaweka ugumu na visingizio kadha wa kadha kama muda wa kufanya mazoezi hatuna na mengine mengi, lakini tunapenda sana kuwa na tumbo dogo na kupata lile umbo namba 8 alilo liimba Daz Baba kipindi hicho. Lakini si lazima kufanya mazoezi kuna njia mbali mbali za kupunguza tumbo endapo tu utakuwa serious kufanya. Leo tunakuleta njia moja wapo ya kupunguza mafuta ya tumbo ambapo ni kunywa maji ya tangawizi
Faida za tangawizi katika kupunguza mafuta ya tumbo
- Tangawizi inasaidia punguza mafuta na kuboresha mmeng’enyo wa chakula
- Tangawizi husaidia kupambana na seli za mafuta katika mwili hasa katika eneo la tumbo.
- Tangawizi pia huzuia uhifadhi wa maji unaozuia au kusababisha bloating
Mahitaji
- Tangawizi 1Inch – Moja
- Maji – kikombe kimoja
Namna ya kutengeneza maji ya tangawizi
- osha na menya tangawizi yako
- kisha katakata vipande vipande vya size na uchanganye na maji yako ya moto
- acha vipande vya tangawizi vikae katika maji hayo kwa dakika 5-10 kisha viondoe vipande vya tangawizi kabla hujanywa.
- Unaweza kuongezea asali ukipenda.
- unaweza kunywa maji haya muda wowote katika siku.
Related posts
3 Comments
Comments are closed.
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
… [Trackback]
[…] Read More Info here on that Topic: afroswagga.com/urembo/punguza-tumbo-kwa-maji-ya-tangawizi/ […]
… [Trackback]
[…] Find More Info here to that Topic: afroswagga.com/urembo/punguza-tumbo-kwa-maji-ya-tangawizi/ […]
… [Trackback]
[…] Read More here to that Topic: afroswagga.com/urembo/punguza-tumbo-kwa-maji-ya-tangawizi/ […]