Wazazi wake walimpa jina Erykah Abi Wright ambae amezaliwa mwaka 1971 lakini jina lake la stage ni Erykah Badu, growing up kipindi hiko kila mtu alikuwa into Erykah sio tu sauti yake bali ni vile alikuwa ana tupa curiousness za kuona nywele zae, Erykah ni mwanamuziki, muandikaji mashairi, na muigizaji lakini pia ni producer,
Leo hatupo kumuongelea Erykah ni nani bali tupo kuongelea her ridiculous insanely beautiful ways za ku accessorize mapambo yake, Erykah ni kama wanawake wengine ana penda mapambo kasoro yetu sisi wengine na yeye ni kwamba yeye yupo unique. ana weza kuvaa mapambo ukajiuliza hiki ni nini lakini jinsi alivyo kivaa kitakuvutia,
Kitu kingine kutoka kwa Erykah ni mpenzi wa vitu vya ki Africa na practice African culture sana, hii way yake ya kuaccessorise na kufanya vitu vya ki Africa ili mfanya shabiki wake mmoja kumuuliza kama yeye ni mchawi na jibu lake lilikuwa ndio, of course huwezi kumuuliza mtu swali kama hilo kisa tu ana vaa urembo mwingi duuh
akiwa ana paka nywele zake rangi ” tumesha ona hii wa South Africa people”
Ukiwa una muongelea badu una weza kusema she is a queen wa accessories hatudhani kama ana nguo nyingi kama alivyo na accessorize
kitu ambacho tumejifunza kutoka kwa Erykah ni kwamba there is no such a thing like too much accessories as long as zimepangiliwa vizuri, kuwa wewe & be true to your self hicho ndicho kinacho kutofautisha wewe na wengine.
“In the right uniform I could fu$k around and make a billion tax free dollars, leading a flock of believers who only recognize some one’s INNER enlightemnment thru their choice of “OUTfit” -e.badu
Related posts
3 Comments
Leave a Reply Cancel reply
You must be logged in to post a comment.
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
… [Trackback]
[…] Info to that Topic: afroswagga.com/urembo/queen-of-accessories-erykah-badu/ […]
… [Trackback]
[…] Find More here to that Topic: afroswagga.com/urembo/queen-of-accessories-erykah-badu/ […]
… [Trackback]
[…] Information to that Topic: afroswagga.com/urembo/queen-of-accessories-erykah-badu/ […]