Mwezi mtukfu wa Ramadhani umeanza, na kama ilivyo kawaida ya mwezi huu watu wengi hutumia muda wao kufanya yale yanayo mridhisha M/Mung kama kufnga, kujistiri na kufanya yale yaliyo mema. Ukifikaga mwezi huu huwa tunasubiri kuona transition ya watu maarufu kutonyesha namna wanavyoweza kutoka katika mavazi yao ya kila siku na ku-cope na yale ya mwezi huu mtukufu.
Tulizoea kusubiri kuona wakia attend event mbalimbali za Iftar lakini kutokana na ugonjwa huu wa Covid 19, hatudhani kama kutakuwa na mikusanyiko yoyote mwaka huu lakini hii haija wafanya watu maarufu hawa waache kutuonyesha walichovaa au beauty looks zao,
Tunae Wema Sepetu ambae amekuwa dolled up na makeup artist Rose Kayuga, tumependa hii makeup kutoka kwake ikiwa ni simple lakini pia neat look.

Linah Sanga,yeye alikuwa face beaten na makeup artist smart beaut parlor yeye alichagua kumpa Linah simple nude look, ambacho tumependa zaidi ni namna ambavyo makeup hii ime blend na skin tone ya Linah

Lulu Diva yeye pia alikuwa baked na makeup artist Rose Kayuga, Lulu yeye alichagua kuwa bold na make up look yake, tunadhani hii imetokana na mavazi ambayo ameyavaa ni kama Indian theme look na akaamua kuwa bold kwenye mavazi na makeup pia

Tunae msanii na video vixen Amber Ruty yeye amebadilishwa kabisa tunaweza kusema power of makeup, she looks total different (in a good way). Tumependa hii blush pink look kutoka kwa makeup artist Kassa Makeup

Well Afromates Je Makeup Look Ya Nani Imekuvutia Zaidi?
Related posts
5 Comments
Comments are closed.
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
… [Trackback]
[…] Find More Info here on that Topic: afroswagga.com/urembo/ramadhani-beauty-looks-from-wema-sepetu-linah-sanga-lulu-diva-na-wengineo/ […]
… [Trackback]
[…] Read More to that Topic: afroswagga.com/urembo/ramadhani-beauty-looks-from-wema-sepetu-linah-sanga-lulu-diva-na-wengineo/ […]
… [Trackback]
[…] Info to that Topic: afroswagga.com/urembo/ramadhani-beauty-looks-from-wema-sepetu-linah-sanga-lulu-diva-na-wengineo/ […]
… [Trackback]
[…] Find More Information here on that Topic: afroswagga.com/urembo/ramadhani-beauty-looks-from-wema-sepetu-linah-sanga-lulu-diva-na-wengineo/ […]
… [Trackback]
[…] Information on that Topic: afroswagga.com/urembo/ramadhani-beauty-looks-from-wema-sepetu-linah-sanga-lulu-diva-na-wengineo/ […]