Zuchu ni msichana mdogo na we can tell kwamba anapenda ku-explore vitu vipya na kujaribu kufikiri nje ya box. Ametoa wimbo mpya uliopewa jina “sukari” na kwa hype ya huu wimbo tulikuwa tunasubiri kwa hamu kuona video yake kwa bahati mbaya kwa sasa ame-release audio na cover ya wimbo huu.
Wimbo ni kuhusu sukari, something kitamu tumeelewa kuhusu hizo popis lips, ambacho tumeona kipo off ni hizi baby hair tunatamani zingefanywa neatly, pia tunadhani muda umefika kwa hair stylist kujua namna ya ku-match attached nywele na nywele za asili kwani ku dye nywele natural zikaendana na rasta ni pesa ngapi?
Kingine ni Zuchu hii top, top inaonekana kubwa na imelazimishwa kufungwa nyuma ndio maana mbele inaonekana kama imevutwa, ukiangalia vyema upande wa kushoto ni kama imemwagiwa maji au kuna kitu kiliangukia, hatujajua kwnaini wameruhusu hizi picha kutoka hivyo hivyo.
Lastly Zuchu legeza shingo
Related posts
HOT TOPICS
Happiness Magese Akionyesha Wanawake Warefu Namna Ya Kuwa Stylish: Kwa wanawake warefu huwa… https://t.co/VZ1jH2zJUg
FollowHappiness Magese Akionyesha Wanawake Warefu Namna Ya Kuwa Stylish: Kwa wanawake warefu huwa… https://t.co/689j7Yjcn0
FollowSubscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
Feza Kessy Atuelezea Kuhusu Fashion & Style Zake
Feza Tadei Kessy ni Muimbaji, Muigizaji lakini pia ni mtunzi wa nyimbo lakini pia Fezza ni former beauty queen ambapo mwaka 2005 alikuwa Miss Dar City Centre, Miss Ilala & Miss Tanzania Runner up. Lakini pia alishawahi kuwepo katika Reality Tv Show – Big Brother Africa. Kwa…