Mwanamuziki Rihanna ambae kwa sasa ana shika chat katika maswala ya mitindo pia, Rihanna ana clothing line yake na pia ana shirikiana na makampuni mengine kama Puma kutengeneza viatu etc. Safari hii kaja na Fenty Beauty na kwa jina tu tumehisi itakuwa ni Cosmetic Collection kwa wale Makeup Artist mkae mkao wa kula na hili.
Kupitia account yake ya twitter Rihana alitangaza kusema Fenty Beuty itakuja au kuwa released msimu wa Fall mwaka huu
Kwa sasa haija julikana atakuja na kitu gani ila kinacho julikana ni kwamba zitakuwa realesed chini ya LVMH-owned Kendo Brands, a subset of Sephora that focuses on indie, celebrity brands like Marc Jacobs Beauty and Kat Von D’s namesake cult cosmetics collection
Sote tunajua Rihanna don’t play na we cant wait kuona whats coming.
Related posts
1 Comment
Leave a Reply Cancel reply
You must be logged in to post a comment.
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
… [Trackback]
[…] Find More on on that Topic: afroswagga.com/urembo/rihanna-ana-kuja-na-fenty-beauty/ […]