Rihanna wengi tunamjua kutokana na kazi yake Muziki, lakini pia amekua chachu katika ulimwengu wa Mitindo na Urembo. Akiwa tayari ameshafanya kazi na makampuni makubwa ya vipodozi kama MAC, Haishangazi hata kidogo kuona sasa hivi anataka kutoa vipodozi vyake mwenyewe. Katika mahojiano ya hivi karibuni na Refinery29, Rihanna amesema ratiba yake imembana sana kiasi cha kushindwa kushiriki katika mradi wake huo wa vipodozi, Lakini anahamu kubwa kufanya hivyo.
“There are a lot!” says Rihanna. “Lashes that could just put themselves on… lipstick that doesn’t move, but doesn’t dry your lips out, that you don’t need a liner for. I mean, it sounds so unreal.”
(“Kuna mengi” alisema Rihanna ““nyusi, lipstick ambazo hazi futiki haraka lakini hazikaushi midomo yako,ina sikika kama haina uhalisia.”)
“Ni dhahiri hiko ni kitu ambacho nataka kukifanya, niwe nacho mikononi mwangu na ninge penda kukifanya” amesema Rihanna kuhusu kuwa na kampuni yake ya vipodozi. “ ni kitu ambocho daima nataka kukifanya, lakini nina mambo mengi ya kufanya mikononi mwangu, lakini wakati huu ntahakikisha nafanikisha. Ntajaribu kutafuta muda katikati ya manukato na Mziki nifanye Vipodozi naahidi.
Rihanna ambae hivi karibuni ame toa Manukato yake yaaitwayo RiRi, amesema vitu ambavyo ana taka viwepo kwenye bidhaa zake za vipodozi.

Chanzo: BET
Related posts
2 Comments
Leave a Reply Cancel reply
You must be logged in to post a comment.
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
… [Trackback]
[…] Information to that Topic: afroswagga.com/urembo/rihanna-kuachia-vipodozi-vyake/ […]
… [Trackback]
[…] Read More on to that Topic: afroswagga.com/urembo/rihanna-kuachia-vipodozi-vyake/ […]