Rose Water ni maji yanayo tokana na kuloweka majani ya maua rose katika maji, kinacho patikana hapo hutumiwa kutengeneza Perfume, kuweka kwenye chakula na hata kutumiwa katika urembo. Leo tutaongelea zaidi kwenye urembo
hutumika kama Toner
Rose water inaweza kutumika kutone ngozi yako maana insaidia kupunguza bakteria katika ngozi yako hivyo pia husaidia kuondoa chunusi, inasaidia kuondoa muonekano wa ngozi kuwa na alergy mfano wekundu wa ngozi kwa watu weupe n.k wakati huo huo huipa ngozi yako unyevu na kuituliza ngozi yako. Ukimaliza kusafisha uso wako chukua pamba kidogo iweke rose water na kisha jifute/ paka usoni iwapo una wekundu unaotokana na inflamation(alergy/muitikio wa ngozi) utaona unapotea.
Tunapoongelea toning ni kama hivi, yaani ngozi yako inaenda inalingana na kupata mng’ao
Make Up remover ( Kuondoa Make up)
Rose water inasafisha ngozi vizuri unapojifuta na pamba hivyo hata uwe umepaka make up ya kugandia huwa inaondoshwa na rosewater unapofuta. Haya maji huweza kuondoa hata make up zinazoandikwa water proof kama mascara au eye shadow na kuiacha ngozi yako ikiwa na unyevu.
Kutibu nywele
kama una nywele kavu na nyepesi, tumia rose water kuzitibu unacho takiwa kufanya ni baada ya kuosha nywele zako mimina au paka mafuta ya rose water itasaidia kuku conditon nywele zako na kuzing’aza pia una weza kuweka mafuta ya rose water katika shampoo yako ukioshea nywele harufu yake hudumu kwa muda katika nywele na kufanya nywele zako zinukie.
Katika kufanya macho yako yaonekane vizuri
Rose water inasidia kupunguza dark cycles na ile hali ya jicho kuvimba (baggy Eyes) kutokana na sababu mbalimbali ikiwemo kukosa kulala usingizi vizuri. ukichukua pamba yako iliyochovya kwenye rose water itumie kufuta taratibu au kukanda kwa mbali kuzunguka jicho lako baada ya muda jicho linakuwa powa.
Unaweza Kuiongezea katika treatment ya uso
Iwapo wewe ni muumini wa natural treatment kama ya kupaka manjano usoni basi badala ya kuchanganyia maji unaweza kuchanganya na rose water kisha unapaka usoni, hutibu makovu pia na chunusi.
Related posts
3 Comments
Leave a Reply Cancel reply
You must be logged in to post a comment.
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
… [Trackback]
[…] Read More here to that Topic: afroswagga.com/urembo/rose-water-na-matumizi-yake/ […]
… [Trackback]
[…] Information on that Topic: afroswagga.com/urembo/rose-water-na-matumizi-yake/ […]
… [Trackback]
[…] Information to that Topic: afroswagga.com/urembo/rose-water-na-matumizi-yake/ […]