SUBSCRIBE NOW

* Afromate kuwa wakwanza kupata updates zetu za kila siku!

Trending News

Subscribe Now

* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!

Trending News

Sababu 6 Kwanini Kipodozi Chako hakifanyi Kazi Ipasavyo
Skin Care

Sababu 6 Kwanini Kipodozi Chako hakifanyi Kazi Ipasavyo 

Umeshawahi kujiuliza kwanini kipodozi chako hakifanyi kazi ipasavyo? Na unatamani kuachana nacho na kutafuta kipodozi kingine? Well DON’T kuna sababu nyingi sana aambazo huchangia kipodozi kisifanye kazi yake vizuri. Leo tutaongelea sababu hizo.

  • Kutokutumia Kipodozi Ambacho Kina-regimen za aina ya ngozi yako

Hapa ndipo unakuja umuhimu wa kujua aina ya ngozi yako na nini kinafaa kutumia, mfano una ngozi kavu ukitumia vipodozi ambavyo ni vikavu basi itazidisha kufanya ngozi yako kuendelea kuwa kavu na kuharibika zaidi.

Jinsi Ya Kujua Aina Ya Ngozi Yako

  • Kukata Tamaa Mapema

Kumbuka vipodozi huchukua muda kutoa matokeo, hapa watu wengi huwa tunashindwa kuvumilia tunaruka kutoka kipodozi kimoja kwenda kingine kwa muda wakati mfupi matokeo yake tunaharibu kabisa ngozi zetu kwa mujibu wa expertise wanasema kuona matokeo ya kipodozi huchukua week kadhaa kulingana na regimen zilizopo katika kipodozi na wakati mwingine huchukua hadi miezi mitatu kupata matokeo.

  • Kutumia kiasi kisicho sahihi

Hakikisha Unafuata maagizo ambayo huandikwa nyuma ya lebo ya kipodozi ili kuweza kujua ni kiasi gani cha kutumia. Ikiwa bado huna hakika, wasiliana na daktari / mtaalam wako wa ngozi au mtaalam wako wa ngozi. Kutumia kiasi kisicho faa cha kipodozi chako kunaweza kuathiri matokeo.

  • Stressful lifestyle

Moja ya sababu kubwa ya chunusi au kuharibika kwa ngozi ni stress, hakuna kipodozi ambacho kitaweza kufanya kazi vizuri endapo hutoweza ku-manage stress. Vitu kama yoga, mazoezi, na facials vinaweza kukusaidia kupumzika wakati unashughulika na stress. Pia hakikisha kupata angalau masaa 7-8 ya kupumzika.

  • Kutotumia moisturizer

Unapaswa kutumia kila siku moisturizer baada ya kipodozi chako, ngozi yako italindwa pia endapo utatumia moisturizer.

  • Kutokutumia Sunscreen

Sunscreen ni muhimu katika kukinga ngozi yako na miale ya jua, wengi wetu tukipaka tu kipodozi tunahisi tumemaliza na kitafanya kila kitu.

Umuhimu Wa Kupaka Sunscreen Katika Ngozi

Ni matumaini yetu umepata kujua nini ufanye ili kupata matokeo mazuri na kipodozi unachokitumia.

Related posts

5 Comments

  1. click here for info

    … [Trackback]

    […] Find More Info here to that Topic: afroswagga.com/urembo/sababu-6-kwanini-kipodozi-chako-hakifanyi-kazi-ipasavyo/ […]

  2. buy magnum research guns

    … [Trackback]

    […] Info to that Topic: afroswagga.com/urembo/sababu-6-kwanini-kipodozi-chako-hakifanyi-kazi-ipasavyo/ […]

  3. mcx spear civilian release

    … [Trackback]

    […] Here you can find 80818 more Information on that Topic: afroswagga.com/urembo/sababu-6-kwanini-kipodozi-chako-hakifanyi-kazi-ipasavyo/ […]

  4. unicvv alternative

    … [Trackback]

    […] There you will find 89723 additional Info on that Topic: afroswagga.com/urembo/sababu-6-kwanini-kipodozi-chako-hakifanyi-kazi-ipasavyo/ […]

  5. Buy Remington gun

    … [Trackback]

    […] Information to that Topic: afroswagga.com/urembo/sababu-6-kwanini-kipodozi-chako-hakifanyi-kazi-ipasavyo/ […]

Comments are closed.