Leeni Ojaniemi ni mwanadada kutoka nchi za Magharibi ambae alikuja Africa kwa lengo la kutokomeza Malaria, ana sema Africa ime kua kama nyumbani kwake na anataka kusaidia.
Amependa ubunifu wa Africa “Nimebuni bangili kutokana na muongozo kutoka kwa wasanii wa nchi hii (Ghana), na heshima kutoka njia ya awali, shangaza zime kuwa ziki tengenezwa na kupakwa rangi kwa muda mrefu. Shanga zina tengenezwa kutokana na mabaki ya chupa, ambapo chupa zina vunjwa na unga unga wa chupa unaungwa kwa moto kutengeneza shanga mpya, kabla zina pakwa rangi au kuchorwa halafu zina tengenezwa kwa namna ipendezayo. Tunataka kutengeneza kitu kizuri cha staili ya pekee na kushehereke utengenezaji wa mikono kutoka kwa watu wa Ghana.
[URIS id=1586]
Related posts
5 Comments
Leave a Reply Cancel reply
You must be logged in to post a comment.
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
… [Trackback]
[…] Read More on on that Topic: afroswagga.com/urembo/sanaa-ya-africa-yaji-jikuza-yenyewe/ […]
… [Trackback]
[…] Find More here on that Topic: afroswagga.com/urembo/sanaa-ya-africa-yaji-jikuza-yenyewe/ […]
… [Trackback]
[…] Find More on to that Topic: afroswagga.com/urembo/sanaa-ya-africa-yaji-jikuza-yenyewe/ […]
… [Trackback]
[…] Find More Information here on that Topic: afroswagga.com/urembo/sanaa-ya-africa-yaji-jikuza-yenyewe/ […]
… [Trackback]
[…] Info on that Topic: afroswagga.com/urembo/sanaa-ya-africa-yaji-jikuza-yenyewe/ […]