Uso na shingo ni sehemu ambazo zinakuwa exposed sana na jua au hali ya hewa yoyote kuliko sehemu nyingine za mwili. Usipokuwa makini na kuzijali basi zinaweza kuwa na muonekano wa tofauti na sehemu nyingine za mwili.
Ngozi ilikufa inatokana na nini?
- Umri
- kutokusafisha ngozi vyema
- mabadiliko ya hali ya hewa
- kutumia mafuta ya ngozi siyo
- Jua N.K
Leo tunaongelea namna ya kuondoa ngozi iliyokufa katika sehemu hizi mbili yaani usoni na shingoni

Mahitaji
- Nyanya moja kubwa
- Kijiko kimoja cha sukari ya brown
- Muda wa kuandaa: Dakika 1
Maelekezo
- Kata Nyanya nusu kipande
- Chukua kipande kimoja didimiza kwenye sukari
- Sugua kwenye uso na Shingo kwa kuzunguka ” circular motion”
- Osha na maji na ujikaushe.
©binturembo
Related posts
3 Comments
Comments are closed.
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
… [Trackback]
[…] Information to that Topic: afroswagga.com/urembo/scrub-ya-kuondoa-ngozi-iliyokufa-katika-ngozi-ya-uso-na-shingo/ […]
… [Trackback]
[…] Here you will find 44293 more Info to that Topic: afroswagga.com/urembo/scrub-ya-kuondoa-ngozi-iliyokufa-katika-ngozi-ya-uso-na-shingo/ […]
… [Trackback]
[…] Here you can find 24590 more Info on that Topic: afroswagga.com/urembo/scrub-ya-kuondoa-ngozi-iliyokufa-katika-ngozi-ya-uso-na-shingo/ […]