Baada ya week nzima ya stress za kazini, kwenye biashara, heka heka za watoto mashuleni etc weekend ni wakati mzuri wa kujijali wewe pamoja na familia yako. Ikiwa wengi tunadhani selfcare ni kwa wenye pesa au kutoka kwenda sehemu ambazo utafanyiwa huduma fulani lakini kumbe unaweza kufanya hivi vitu mwenyewe nyumbani.

Fanya Mazoezi
Haina haja ya kwenda Gym sasa hivi kuna applications mbalimbali ambazo unaweza ku-download na ukafanya mazoezi nyumbani. Kufanya mazoezi kunakusaidia kufanya mwili uwe tayari kukabiliana na week ijayo lakini pia unapata muda wa kuondoa calories ulizozi-consume week nzima.
Jali Ngozi Yako
Yes inawezekana kwa week nzima hukupata muda wa kujali ngozi yako, ni makeup bandika bandua chukua muda huu kufanya skin care routine, fanya facials etc lakini pia huitaji kwenda kwenye spa au sehemu wanazofanya huduma hizi unaweza kufanya nyumbani ukiwa na vifaa sahihi artificial au hata vya asili,
Kula Vyakula Vyenye Afya
Kutoka kwenye mihangaiko na kurudi kuanza kupika inaweza kuwa hustle kwako unaweza ukawa unanunua vyakula nje au unapika vyakula visivyo healthy ili uwahi kula na kupumzika, weekend ndio nafasi pekee unayoweza kusahihisha hili kwa kula healthy ilikuupa mwili wako nguvu na afya ya kukabiliana na mihangaiko ya week inayofuata.
Related posts
4 Comments
Comments are closed.
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
… [Trackback]
[…] Information on that Topic: afroswagga.com/urembo/self-care-checklist-to-do-this-weekend/ […]
… [Trackback]
[…] Find More Information here on that Topic: afroswagga.com/urembo/self-care-checklist-to-do-this-weekend/ […]
… [Trackback]
[…] Read More Info here to that Topic: afroswagga.com/urembo/self-care-checklist-to-do-this-weekend/ […]
… [Trackback]
[…] Read More to that Topic: afroswagga.com/urembo/self-care-checklist-to-do-this-weekend/ […]