Toka movie ya Black Panther itoke ni kama ime tu-boost wa Africa kama ume notice kwa sasa watu maarufu wengi wanajaribu kutukuza tamaduni zetu,hasa kupitia mavazi na urembo. Watu kama WCB siku hizi wanavaa sana vitenge, lakini pia Wema Sepetu, Jacqueline Wolper uko Nchi za wenzetu napo hawapo nyuma.
Well sio kitenge tu ambacho kimeonekana kutamba lakini sasa hivi watu maarufu wana ditch vito vyao vya thamani na kuvaa shanga once in a while for the culture. Imekuwa kama trend japo haija onekana mara nyingi sana na watu ku-notice lakini ipo na inaelekea kukua siku mpaka siku
Tumemuona msanii Nandy sio mara moja bali mbili akiwa ame accessorize miguu yake na shanga, yaani amevaa vikuku vya shanga ila hii aliyo vaa na kitenge ndiyo ilituvutia zaidi a full African Girl with Fulani Braids.
Mwanamuziki Kutoka Nigeria Tiwa Savage yeye alivaa a head piece ya shanga huku akiwa amepaka make up yake nzuri you don’t have to be all natural, spice it up with modern touch’s
Diamond Platnumz ali-ditch his layering necklaces for a shanga choker, he looked great akiwa amevalia choker hii na suruali ya kitenge na white T-shirt.
Inaweza kuwa trend kwa sasa na kama utavaa husisite kututag katika social network zetu.
Related posts
3 Comments
Comments are closed.
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
… [Trackback]
[…] Find More here on that Topic: afroswagga.com/urembo/shanga-inavyo-chukua-nafasi-katika-urembo/ […]
… [Trackback]
[…] Find More on that Topic: afroswagga.com/urembo/shanga-inavyo-chukua-nafasi-katika-urembo/ […]
… [Trackback]
[…] Read More on that Topic: afroswagga.com/urembo/shanga-inavyo-chukua-nafasi-katika-urembo/ […]