Fashionista Sishkikii ame-reveal kuwa anaanza safari ya kung’aza ( lightening) ngozi yake, well tulishawahi kuongelea kuhusu utofauti kati ya skin lightening na skin brightening. Ila kwa kifupi tu
- Tunapoongelea Lightening ( Kung’aza)
Tunaongelea kung’aza ngozi kuwa katika hali ya kawaida, hii ni kama pale unapopata makovu ya chunusi, ngozi kupigwa na jua n.k. Lengo la kuang’aza ngozi ni kufifisha madoa yasiyotakiwa na kuipa ngozi yako rangi yake ya asili.
Well Sishkiki amesema kwasasa yeye ameanza safari yake ya kung’aza ngozi yake na kwamba katika hii safari yake atakuwa muwazi kwa vitu anavyo vitumia na progress zake katika kufikia rangi anayoitaka, angalia video hapo chini ambapo ameelezea kwa urefu zaidi lakini pia unaweza kumfuatilia katika instagram yake @sishkikii
Related posts
1 Comment
Comments are closed.
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
… [Trackback]
[…] Find More here to that Topic: afroswagga.com/urembo/sishkikii-na-safari-yake-katika-skin-lightening/ […]