Wakati tupo kwenye mitandao tunaweza kudanganyika na baadhi ya matangazo ambayo yanatuaminisha ngozi nzuri ni zile ambazo hazina kasoro, lakini kumbe kila mtu ana ngozi ya aina yake inawezekana kuna waliobarikiwa hawana madoa au vipele lakini pia ukiwa unavyo haimaanishi ngozi yako ni mbaya.
Lengo ni kuwa na ngozi yenye afya na sio perfect skin,
Je Ngozi yenye afya ni ipi?
- Protected
Ngozi yenye afya ni ile ambayo inalindwa, kuanzia nje mpaka ndani hapa tukimaanisha unakula, kunywa vyakula ambavyo vinasaidia ngozi yako kuwa nzuri lakini pia vipodozi unavyopaka vinalinda ngozi yako badala ya kuiharibu bila kusahau kupaka sun screen ili kulinda ngozi yako kutokana na miale ya jua.
Umuhimu Wa Kupaka Sunscreen Katika Ngozi
- Yenye Usawa ( Balanced )
Ngozi yenye afya ni ile ambayo inausawa, hapa hatuongelei tu kuhusu kuwa na rangi moja bali pia mafuta katika ngozi yako yapo sawa yaani hawajazidi wala kupungua, cell turnover zipo sawasawa kabisa ( Cell Turnover ni kuondoka kwa cell zilizokufa na kuja cell mpya zinazokufanya uwe na ngozi nzuri)
Namna Ya Kupata Rangi Moja Mwilini Kwa Kutumia Vitu Vya Asili
- Inayotunzwa
Ngozi yako inakuwa na afya nzuri pale tu unapoijali na kuitunza na hapa tunaongelea mentally na physically, kufanya mazoezi, kulala vizuri, kula na kunywa vyakula vinavyolinda ngozi lakini pia kuepuka misongo ya mawazo ambayo inaweza kuleta madhara katika ngozi yako.
Related posts
1 Comment
Comments are closed.
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
… [Trackback]
[…] Read More to that Topic: afroswagga.com/urembo/skin-goals-ni-ipi/ […]