Tunapenda ikija trend ambayo ipo exciting na inawezekana kufanyika kwa urahisi hasa ikiwa a good beauty trend, kuwaona watu wanapendeza inatupa such a good feeling. Imeonekana katika ulimwengu wa mitindo wameongeza kitu kipya kwa sasa nacho ni colorful eyeliner, tunamaanisha sahau kuhusu boring black eyeliner & sahau kuhusu kutumia muda mwingi kupaka eye shadow ikae sawa kwa sasa unaweza kupaka tu colorful eyeliner yako na ukapendeza na kuonekana ume-make effort katika uso wako.
Watu maarufu mbalimbali wameonekana kuvutiwa na trend hii akiwapo Rihanna, toka Rihanna ameingia katika maswala ya urembo tumekuwa tukisubiri atafanya nini upande hii, amesha fanya vingi katika upande wa fashion amesha set trend nyingi nyingi we can’t wait to see a beauty trend atakayo ileta.
Katika Paris Fashion Week Rihanna alikuwa spotted akiwa amepakwa eyeliner nyeupe, aliacha eyeliner iongee kwa kupaka nude lipstick na simple makeup do
Asian Doll yeye alionekana akiwa amepaka eyeliner ya pink tofauti na Rihanna yeye alipaka wanha na lipstick katika midomo yake, still looks good though.
Ni trend ambayo inaendelea kwa sasa duniani tumeona makeup artist mbalimbali lakini pia hata watu wa kawaida wakiwa wamejaribu & we have to say we will try this too.
Tuambie je utajaribu?
Related posts
HOT TOPICS
The Hardest Part Of Being A Nigerian Bride Is To Comeup With A Bride Look That Wont Match With Any Of The Guest’s A… https://t.co/8vfNPS0IYg
FollowItaly Kumekucha Afromates #TheKardashian #TheKardashian wapo huko kwaajili ya the wedding of the year. Haya mnasubiri lo… https://t.co/kENoAG9RQg
FollowSubscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…