rapper young joc kutoka majuu ame ingia kwenye headlines baada ya sijui kuweka nywele dawa au kashonea weaving, unajua ukiwa rapper unakua mgumu hutakiwi kujiremba na vitu kama hivyo ma rapper wengi hupenda kuweka urembo ambao wa kigumu kama tattoo’s, kufuga ndevu nakadhalika lakini young Joc akaona kama Justin Bieber anaweza kuweka dawa vipi yeye ashindwe? akaweka kalikiti lake lakini yaliyo mkuta huko mitandaoni ni balaa
inaonekana mashabiki wake hasa Africa-americans wame chukizwa na hili kiasi ambacho wame tengeneza vikatuni kwa kum’beza
lakini joc ameoneka kuwa unbothered na hili na seems to enjoy his new hairdo . una weza kuangalia video ya anavyo jitetea kwamba kama angekuwa mweupe basi ingekua style kwa sababu ni mweusi imekua zogo
Related posts
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…