Leo katika #tbt yaani Throw Back Thursday au alhamisi ya tupanyuma tunakuletea vile vipodozi ambavyo watu wengi walikua wana vitumia haijalishi una hela au huna, enzi zile bado hatukuwa tunamjua mac wala iman.
Zamani tulikua tunapaka Baby powder usoni yani hapo hakuna cha Mac powder wala powder blonze, uwe mweupe au mweusi hii ilikua lazima ihusike.
Unakumbuka kusaga udongo ule wanao kula wamama wajawazito kuwa kama Powder ya usoni? hii ilikua rahisi sana sio expensive, lakini hii ilikua ina tumiwa sana na weusi na maji ya kunde.
Unakumbuka kupaka mafuta ya kupaka kama lip balm? kama una kumbuka hizi wewe ni mzee sasa.
Angel face hii kila mtu alikuwa nayo kwenye pochi yake hasa wapenda urembo
Wanja hizi hakukua na wanja wa lulu wala nini wanja zilikua za pencil na zilikua rangi tofauti tofauti ila brown na nyeusi ndo ilikua inapendwa sana
Hizi lipstick zilikua zina katika sana, na zipo zile nyingine za kijani ila ukipaka inakua nyekundu.
Tunatumai tumekukumbusha na ume enjoy.
Related posts
5 Comments
Leave a Reply Cancel reply
You must be logged in to post a comment.
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
… [Trackback]
[…] Read More to that Topic: afroswagga.com/urembo/tbt-kumbuka-vipodozi-vya-zamani/ […]
… [Trackback]
[…] Info on that Topic: afroswagga.com/urembo/tbt-kumbuka-vipodozi-vya-zamani/ […]
… [Trackback]
[…] Read More on to that Topic: afroswagga.com/urembo/tbt-kumbuka-vipodozi-vya-zamani/ […]
… [Trackback]
[…] Read More here on that Topic: afroswagga.com/urembo/tbt-kumbuka-vipodozi-vya-zamani/ […]
… [Trackback]
[…] Read More Information here on that Topic: afroswagga.com/urembo/tbt-kumbuka-vipodozi-vya-zamani/ […]