Kwanza kabisa ninafurahi kuendelea kutumia brand za kiafrika sanasana Tanzania. Kwa Leo naomba nitoe maelezo madogo tu lakini mazito kuhusu wanja huu. Kwanza kabisa nimekuwa Nikisumbuka Sana na wanja hasa, waterline (wanja wa macho). Kila nilizokuwa nilijaribu haukuwa unakaa vizuri (kwa muda mrefu bila kuchuja). Tarehe 11/07/2019, nikasema let me try kununua hii ya Lavie nione, nikanunua same day nikafanya maribio kwangu. Nikaipaka jicho moja tu eyeliner na waterline pia, mpaka kufikia jioni bado nnawanja wangu ha haujafutika Wala kuchuja, pià aaa sio mzito kwenye macho (weightless kabisa Yani).

SIFA ZAKE.
_ Haichuji katika macho( a long wear liner)
_ Unakauka haraka
_Ni waterproof though haijaandikwa lakini unaweza kuprove mwenyewe
_Ingrediantes zilizotumika pia Ni nzuri

Nacho Naweza kusema, this will be my favorite liner kuanzia Sasa, nimeipenda sana.
Baada ya kutumia eyeliner, nilitumia pia eyeshadow yake. It’s a big YES!!!!
Nikatazama pia ingredients zilizotumika zipo sawa kabisa sijaona yenye kasoro kwa uelewa wangu.

Ni eyeshadow nzuri mnoooo, kila eyeshadow iliopo pale, inashika vizuri kabisa, unaweza kuchukuwa kiasi kidogo tu lakini inasambaa vizuri na kushuka vizuri kabisa.
Dear dada @laviemakeup @laviecosmetics Naomba tuletee more colours ( I do love). 🙈🙈🙈🙈.
Unaweza kuitumia kupaka Aina yoyote ya eyeshadow smokyeyes, cutcreas, nude, round, Arabic n.k naipenda
Review Imefanywa na makeup artist @tunu_designs
Related posts
HOT TOPICS
#AfroFix | #AfroFix Tuna Fix Nini? âž–âž–âž–âž–âž–âž–âž–âž–âž–âž–âž–âž–âž–âž–âž–âž–âž– #AfroFix https://t.co/SID1P6QCPM
FollowHappiness Magese Akionyesha Wanawake Warefu Namna Ya Kuwa Stylish: Kwa wanawake warefu huwa… https://t.co/VZ1jH2zJUg
FollowHappiness Magese Akionyesha Wanawake Warefu Namna Ya Kuwa Stylish: Kwa wanawake warefu huwa… https://t.co/689j7Yjcn0
FollowSubscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
Feza Kessy Atuelezea Kuhusu Fashion & Style Zake
Feza Tadei Kessy ni Muimbaji, Muigizaji lakini pia ni mtunzi wa nyimbo lakini pia Fezza ni former beauty queen ambapo mwaka 2005 alikuwa Miss Dar City Centre, Miss Ilala & Miss Tanzania Runner up. Lakini pia alishawahi kuwepo katika Reality Tv Show – Big Brother Africa. Kwa…