Ngozi kavu ni tatizo common ambalo mara nyingi hutokea katika miezi ya baridi japo pia una weza kupata tatizo hili mwezi wowote kwa sababu ya ngozi yako kuwa hivo. Kama una taka kulitibu tatizo hilo kwa njia za asili basi hizi chache zina weza kukusaidia.
- PARACHICHI
Parachichi lina sifika kwa kuwa na Vitamins nyingi, antioxidants, na fatty acids ambazo zina weza kuipa ngozi yako unyevu nyevu (moisturize) pia ina Vitamin A ambayo ina weza kusidia ngozi yako kuji restore na kuiacha soft na laini. Unacho hitaji ni kuwa kukata parachichi katika bakuli kisha saga mpaka pale utakapo pata ujiuji/juice nzito ya parachichi kisha paka usoni mwako na kaa nayo kwa muda wa dakika kumi na tano (15 mins), kama utapenda una weza kuongezea vijiko viwili vya asali katika mchanganyiko wako ili kupata matokeo bora zaidi.
- MAFUTA YA NAZI
Mafuta ya nazi pia yana sifika kwa kuwa na Fatty acids ambazo husaidia kuipa ngozi unyevu nyevu pia nzuri katika kutibu ngozi kavu mwilini, pasha mafuta yako yawe ya uvugu vugu paka kwenye ngozi kaa nayo usiku mzima ( paka na ulale nayo), pia ni mazuri kupaka hata baada yakutoka kuoga na ukakaa nayo siku nzima.
- MTINDI
Mtindi ni chanzo kizuri cha protein kwa ajili ya kutibu ngozi kavu, pia ina vitamin B12, vitamin B2, magnesium na potassium ambazo ni virutubisho muhimu kwa ajili ya afya ya ngozi, paka mtindi wako ambao hauna flavor (yaani usije kununua mtindi wenye radha eg vanilla, strawberries etc) paka ule mtindi fresh usio na chochote paka kwenye maeneo yaliyo makavu halafu uache kwa dakika 10 (10 mins) na utahisi kuwashwa na kupata unyevu nyevu baada ya kutoa utapata ngozi nyororo na isiyo kavu.
Related posts
5 Comments
Leave a Reply Cancel reply
You must be logged in to post a comment.
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
… [Trackback]
[…] Find More Information here to that Topic: afroswagga.com/urembo/tiba-za-asili-kwa-ajili-ya-ngozi-kavu/ […]
… [Trackback]
[…] Read More on that Topic: afroswagga.com/urembo/tiba-za-asili-kwa-ajili-ya-ngozi-kavu/ […]
… [Trackback]
[…] Read More to that Topic: afroswagga.com/urembo/tiba-za-asili-kwa-ajili-ya-ngozi-kavu/ […]
… [Trackback]
[…] Find More on to that Topic: afroswagga.com/urembo/tiba-za-asili-kwa-ajili-ya-ngozi-kavu/ […]
… [Trackback]
[…] Here you will find 12867 more Information on that Topic: afroswagga.com/urembo/tiba-za-asili-kwa-ajili-ya-ngozi-kavu/ […]