Jacqueline ni moja kati ya wakwonge katika mitindo ambao bado wanaonekana vyema yaani kuonekana wadogo kuliko umri wao, wengi wetu huwa tunajiuliza anafanya nini? Mbona ngozi yake bado ipo vizuri?
Kupitia Account zake katika mitandao ya kijamii Jacqueline ame-share tips chache za namna ambavyo unaweza kuwa healthy na youthful look
- Acha Pombe Na Punguza Matumizi Ya Sukari
- Acha kufikiria kuhusu umri na ishi kutokana na wakati uliopo


- Usijali sana kuhusu vitu vidogo
- Lala vya kutosha na stay hydrated


As tunawakumbusha mara kwa mara skin care routine pekee haiwezi kukupa ngozi nzuri unahitaji ku-control life style yako pamoja na kuangalia unachokula, well tuambie kipi kati ya alivyotaja Jacqueline kinakuhusu?
Related posts
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…