Kuna njia nyingi sana za kufanya ndevu zako kuwa nyeusi. Wanaume wengi wanasumbuka sana na mionekano ya ndevu lakini wameshindwa jinsi gani ya kufanya hili ndevu zao ziwe nyeusi. Leo tunakutelea tips ambazo zitakusaidia sana kufanya ndevu zako kuwa nyeusi.
1. Paka mafuta ya ndevu kila siku
Najua utajiuliza sana napakaje mafuta ya ndevu kila siku basi ni simple fanya iwe tabia yako ya kila siku kama kupiga mswaki basi ukiamka paka mafuta ya ndevu zako na utaona mabadiliko makubwa sana. Ukipaka mafuta ya ndevu kila siku itachangia sana ndevu zako ziendelee kuwa strong na tonne benefit ila kitu kizuri itafanya nyevu zako zinukie vizuri.
2. Punguza ndevu zako
Tunajua utajiuliza kivipi nipunguze ndevu zangu basi ni kitu simple jitahidi kuweka ndevu zako katika muonekano safi yani jitaidi kupunguza na kuziweka katika shape na style ambayo itavutia watu na ukifanya ivyo itachangia kuondoa sehemu ya ndevu ambazo hazipo strong na kufanya ziote upya na kuwa nyeusi.
3. Don’t dry out ndevu zako
Unajua hakuna kitu kizuri kama personal hygiene basi jitaidi kuwa na uwezo wa kuzieheshimu ndevu zako usiwe na haraka sana kukausha ndevu zako kutumia mashine jitahidi ru kukausha ndevu zako kwa kutumia towels ambayo haina unyevu nyevu na itakusaidia sana. Ukidry ndevu zako itafanya ikakamae na kufanya ibadilike rangi kwa sababu ndevu ni tofauti na nywele kuna baadhi ya madini yanatofautiana kati ya nywele na nyevu ukifanya hivyo basi ndevu zako zitashine all day.
4. Tumia products nzuri za ndevu
Jitaidi sana kutumia best products kwa ajili ya ndevu zako kama beard wax , na aina zengine za kusaidia kukuza ndevu. Ukiweza kutumia products nzuri kwa ajili ya ndevu zako basi kila siku ndevu zako zitakuwa na muonekano ambao unavutia na nyeusi kwa sababu unatumia products ambazo zinafanya ndevu zako ziwe nzuri na nyeusi.

5. Limit sun exposure
Jitaidi sana kuepuka mwanga wa jua kwenye ndevu zako kwa sababu jua likipiga sana ndevu inatabia ya kupausha ndevu na kuanza kutoonekana kama hazina afya na ni mbaya machoni mwa watu. Ukiweza kuzuia mwanga wa jua itasaidia sana katika kufanya ndevu zako ziendelee kuwa nyeusi na ambazo zinavutia.
6. Dye ndevu zako
Jitahidi sana kupaka rangi ndevu zako yani jitaidi kupaka superblack sometimes kama ukipata mda. Usisahau kuna mda nyevu hata ukizifanya nn zitapauka tu na hapo ndo unatakiwa upake rangi ndevu zako hili kufanya zizidi kuwa nyeusi zaidi na zipendeze.
7. Jitahidi kuchonga ndevu zako kila baada ya week
Ukiweza kufanya hivyo basi ndevu zako zitakuwa nyeusi mda wote. Unaambiwa make ups za mwanaume ni kuchonga ndevu na kunyoa basi ukijhitaidi kuchonga kila week hautoonekana unandevu mbaya na itakufanya uwe na ndevu nyeusi na muonekano mzuri mbele za watu.
8. Vaa nguo nyeusi
Unaambiwa ukivaa nguo nyeusi basi itafanya hata ndevu zako ziwe nyeusi si kuna baadhi ya maneno unaambiwa ukikaaa na mchawi basi na wewe utakuwa mchawi ndo kama ndevu zinareflect nguo ulizovaa ukitaka kujua angalia watu wengi wenye ndevu nyingi hupendelea kuvaa nguo nyeusi kwa sababu inafanya ndevu ziwe nyeusi na nzuri mda wote.
Asante kwa mda wako ni matumaini yetu umetuelewa na umependa tips hizi ambazo zitakusaidia sana. Kama hizi tips zitakusaidia kufanya ndevu zako ziwe nyeusi usisahau kupiga picha ndevu zako na sisi tutare
Imeandikwa na @gotchathegreatest
Related posts
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…