Kupata ngozi nzuri yenye kuridhisha ni janga, na hii hutokana na maswala mbalimbali kama tunavyokula, ukuaji, tunavyovitumia na mengine mengi. Lakini unaweza kupata ngozi nzuri endapo tu utajaribu kufanya mambo haya manne;
- Usitumie Bidhaa Za Ngozi Nyingi
Wengi wetu tuna hii tabia unatumia kipozi hiki hakijaanza kutoa matokeo unajaribu kingine au una product za ngozi nyingi na zote unazitumia kwa wakati mmoja ni lazima makemikali yataingiliana na kuharibu ngozi yako. Kuwa mvumilivu na kujaribu kutumia vipodozi vichache kwa wakati mpaka pale utakapopata matokeo.
- Tumia cleanser sahihi kwa aina ya ngozi yako
Sio cleanser inafaa kwa kila aina ya ngozi, hakikisha unapoenda kununua unauliza inafaa kwa ngozi ya aina gani au google na kusoma maelekezo yaliyoandikwa kwenye product si kwasababu rafiki yako anatumia inamfaa basi na wewe itakufaa.
- Tumia sunscreen bilakujali hali ya hewa
Wengi hudhani sunscreen hutumika kwenye jua tu, hapana sunscreen ni muhimu kwakila aina ya hali ya hewa lakini pia sio tu unapokuwa nje bali hata kama upo ndani hatakama una shuka kwenye gari unaingia ofisini hakuna jua hakuna joto hakikisha unapaka sunscreen
Umuhimu Wa Kupaka Sunscreen Katika Ngozi
- Epuka kugusa uso wako
Hili jambo ni gumu sana lakini pia ni muhimu sana, jaribu sana kuepuka kugusa uso wako mara kwa mara, mikono yetu inashika sehemu na vitu vingi ambavyo vinaweza kuwa na bakteria ambao wanaweza kuharibu ngozi zetu.
Related posts
5 Comments
Comments are closed.
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
… [Trackback]
[…] There you will find 74483 more Info on that Topic: afroswagga.com/urembo/tips-za-kupata-ngozi-nzuri/ […]
… [Trackback]
[…] Information on that Topic: afroswagga.com/urembo/tips-za-kupata-ngozi-nzuri/ […]
… [Trackback]
[…] Find More on on that Topic: afroswagga.com/urembo/tips-za-kupata-ngozi-nzuri/ […]
… [Trackback]
[…] Read More Information here to that Topic: afroswagga.com/urembo/tips-za-kupata-ngozi-nzuri/ […]
… [Trackback]
[…] Information to that Topic: afroswagga.com/urembo/tips-za-kupata-ngozi-nzuri/ […]