Kuna tofauti kubwa kati ya Human Hair Weaving na Synthetic Hair Weaving tofauti hio ni kwamba Human Hair Weaving ni zile nywele zinazo tengenezwa kutokana na nywele za binadamu kweli wakati Synthetic Hair Weaving hutengenezwa kwa ma kemikali ndio maana hizi ukizipass kwa moto mkali kidogo zinaweza kuyeyuka. Na kwa sababu hio ndo maana wengi huita maweaving Original na maweaving Fake.
Tofauti za hizi nywele katika matumizi.
- Nywele 100% human hair zinaweza kutengezwa style tofauti tofauti kwa kutumia vifaa vya moto,unaweza kuziosha zikawa safi ukazitumia mda mrefu zaidi.
- Nywele 100%human hair hazihitaji kuongezewa kitu chochote zaidi ya kile unachokiweka katika nywele zako.
- Human hair zikijichanganya na nywele zinazofanana rangi huonekana ni nywele za mtu zote.
- Human hair unaweza kuzi pass kuzi seti,kubadilisha rangi n.k
- Nywele feki(synthetic) huwa zinakuja zimeshaweka mtindo,mawimbi nk hivyo hazihitaji kufanywa chochote.
- Nywele feki huwa zinaleta mjazo wa nywele hivyo ni faida kwa watu wenye nywele chache.
- Human hair hukaa hata mwaka lakin fake huweza kudumu mwezi mmoja hadi mitatu.
- Nywele feki huwezi kuzitia rangi wala kuziseti tofauti na ulivozinunua.
- Nywele feki hufaa kwa watu wanaoziweka kwa ajili ya matukio maalumu ya muda mfupi.
- Nywele 100% human hair ni gharama kiasi ukilinganisha na fake hair.
Kulingana na bajeti yako na uhitaji wako wa nywele ndio unaweza kuamua itakufaa ipi. Kama unataka bei nafuu tafuta synthetic hair lakini kama unataka nywele inayodumu basi nunua 100% human hair.
Related posts
3 Comments
Leave a Reply Cancel reply
You must be logged in to post a comment.
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
… [Trackback]
[…] Read More to that Topic: afroswagga.com/urembo/tofauti-kati-ya-human-hair-weaving-na-synthetic-hair-weaving/ […]
… [Trackback]
[…] Here you will find 69063 additional Information to that Topic: afroswagga.com/urembo/tofauti-kati-ya-human-hair-weaving-na-synthetic-hair-weaving/ […]
… [Trackback]
[…] There you can find 3831 additional Information on that Topic: afroswagga.com/urembo/tofauti-kati-ya-human-hair-weaving-na-synthetic-hair-weaving/ […]