Mikanda ipo tangu na tangu huwa inabadilika tu styles kuna waist belts, corset belts, purse belts etc lakini pia material yanabadilika kuna zile za suede, lather, kuna metallic pia ili mradi unapata kile unapenda pia kuna tofauti ya sizes hii hutokana na msimu na trends, kuna kipindi mikanda myembamba huwa ina trend sana wakati mwingine size ya kati na wakati mwingine mikubwa lakini safari hii belt zimekuja kivingine kabisa. Belt zimekuja zikiwa ndefu mno yes sio kipimo kile cha kawaida siku hizi belt inafika hadi magotini,
Mara ya kwanza kuona belt ndefu hivi ilikuwa kwa bi Dada Rihanna, ambapo alivaa hii belt kubwa na ndefu tuliyo ona amekuwa inspired na Santa cruise
Lakini pia tumewaona watu maarufu wengine kama Kylie Jenner akiwa amevalia hii trend, Kylie yeye alivaa double denim huku coat yake akiwa amevalia na huo mkanda mrefu wa blue
Juzi tumemuona mwanadada Jeniffer Lopez akiwa kwenye redcarpet nae akiwa amevalia trend hii in a blue dress
Lakini pia fashion bloggers nao wameonekana kuipenda trend hii maana tumeona baadhi yao wakiwa wamerock mikanda hii
Kusoma trend nyingine ya mkanda bonyeza hapa
kwa Tanzania unaweza kuipata hapa styleyoursoul_clo
View this post on Instagram@gabemccoyjr ⚪️⚫️🥋 #repmonochrome #thisisnotablackbelt #styleyoursoul
A post shared by STYLE YOUR SOUL ™ (@styleyoursoul_clo) on
Related posts
4 Comments
Leave a Reply Cancel reply
You must be logged in to post a comment.
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
… [Trackback]
[…] Read More Information here on that Topic: afroswagga.com/urembo/trend-talk-tuesday-the-extra-long-belt-trend/ […]
… [Trackback]
[…] Here you will find 42367 additional Information to that Topic: afroswagga.com/urembo/trend-talk-tuesday-the-extra-long-belt-trend/ […]
… [Trackback]
[…] Find More here to that Topic: afroswagga.com/urembo/trend-talk-tuesday-the-extra-long-belt-trend/ […]
… [Trackback]
[…] Info to that Topic: afroswagga.com/urembo/trend-talk-tuesday-the-extra-long-belt-trend/ […]