So braids & Beads are actually a thing kwa sasa, mara ya kwanza tuliiona kwa Solange kisha tukaona Vanessa Mdee kutoka Tanzania akiwa amesukia
na tukasema tumeipenda hii trend na tulikua about kuirock, kwa sasa ndio style inayo tamba huko mitandaoni na ulimwenguni huwezi kuto kuiona kwa siku katika timeline yako na tunapenda jinsi African Culture ina kuwa praised kwa sasa (can we get an Amen?) tuna vitu vizuri kupitia Fashion lakini tunapenda kuiga vya wenzetu seems like tume amka na tuna claim whats ours, unaweza kusuka vitunguu, mminyoosho etc uka accessorize na beads, angalia Inspiration za jinsi ambavyo unaweza kusuka nywele hizo kutoka wa watu maarufu na wasio maarufu
Jpkate Mwegelo
Braids & Beads Inspiration
Huitaji kusukia full kichwa unaweza kusuka nusu tu ukawa on trend & chic
Afican Beads are life linapo kuja swala la huu mtindo
Je utasukia? kama ukisukia hakikisha una tutag we will gladly repost you.
Related posts
HOT TOPICS
The Hardest Part Of Being A Nigerian Bride Is To Comeup With A Bride Look That Wont Match With Any Of The Guest’s A… https://t.co/8vfNPS0IYg
FollowItaly Kumekucha Afromates #TheKardashian #TheKardashian wapo huko kwaajili ya the wedding of the year. Haya mnasubiri lo… https://t.co/kENoAG9RQg
FollowSubscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…