Juma lingine limeanza na ni mwanzo wa mwezi wa saba, siku zinakimbia right? lakini katika habari za mitido kuna igizo jipya kwa sasa kinacho trend katia dunia ya mitindo ni colored shield sunglasses (hizi ni miwani zenye rangi rangi). Tumeziona kwa watu maarufu wengi akiwepo mwanamitindo mkubwa Gigi Hadid
Reality show super star na Mrs West, Kim Kardashian
Lakini pia mwanamuziki (Rapper) Nicki Minaj ameonekana kuvaa hizi miwani pia
kwa hapa wetu bongo tuliye muona nazo mara nyingi ni moja kati ya fashionable men kibongo bongo mwanamuziki Juma Jux ambapo tunahisi kwa sasa hii ndio accessory yake pendwa
Yellow Sunnies alizo match na shirt yake
Je ni wapi tazipata? kwa hapa Tanzania katika tafuta tafuta zetu tumezipata katika hili online shop Instagram accessories_tz
https://www.instagram.com/p/BV-GwicHnMu/?taken-by=accessories_tz&hl=en
well usisahau kusoma article nyingine kuhusu trending acessories hapa
Related posts
HOT TOPICS
Happiness Magese Akionyesha Wanawake Warefu Namna Ya Kuwa Stylish: Kwa wanawake warefu huwa… https://t.co/VZ1jH2zJUg
FollowHappiness Magese Akionyesha Wanawake Warefu Namna Ya Kuwa Stylish: Kwa wanawake warefu huwa… https://t.co/689j7Yjcn0
FollowSubscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
Feza Kessy Atuelezea Kuhusu Fashion & Style Zake
Feza Tadei Kessy ni Muimbaji, Muigizaji lakini pia ni mtunzi wa nyimbo lakini pia Fezza ni former beauty queen ambapo mwaka 2005 alikuwa Miss Dar City Centre, Miss Ilala & Miss Tanzania Runner up. Lakini pia alishawahi kuwepo katika Reality Tv Show – Big Brother Africa. Kwa…