Kinacho trend kwa sasa upande wa urembo ni hizi hereni za tassel ambazo zinakuwa na kamba kamba chini zinaweza kuwa za kamba au shanga nk.
Trend imeonekana hasa kwenye runways za wabunifu lakini pia hata kwa fashion bloggers na watu maarufu. Tumeipenda hii trend kwa sababu zinavalika popote na zinaendana na mavazi mbali mbali kama gauni,suruali,skirt etc.
trend ina tegemea na uendapo kuna zile fupi una weza kuvaa kazini, business meetings etc na kuna zile ndefu una weza kuvaa kwenye sherehe au dinner dates
Inakufanya uonekane chic na zina bright uso wako as nyingi zipo colorful japo unaweza kupata ambazo hazina rangi sana.
Tanzania unaweza kushop – @manyatta_101
https://www.instagram.com/p/BVzzRYZgHw9/?taken-by=manyatta_101&hl=en
pia zinapatikana – @enjipai
View this post on InstagramHow beautiful are these beaded Enjipai tassels 💛❗️NEW❗️available
A post shared by Since 2010🇹🇿 (@enjipaijewelry) on
Lakini pia – @accessories_tz
https://www.instagram.com/p/BWpqWXQnDIW/?taken-by=accessories_tz&hl=en
kusoma trend talk nyingine bonyeza hapa, na hapa until next tuesday xoxo
Related posts
3 Comments
Leave a Reply Cancel reply
You must be logged in to post a comment.
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
… [Trackback]
[…] Info on that Topic: afroswagga.com/urembo/trendy-talk-tuesday-tassel-earrings/ […]
… [Trackback]
[…] Read More here to that Topic: afroswagga.com/urembo/trendy-talk-tuesday-tassel-earrings/ […]
… [Trackback]
[…] Read More here to that Topic: afroswagga.com/urembo/trendy-talk-tuesday-tassel-earrings/ […]