Kinacho trend kwa sasa upande wa urembo ni hizi hereni za tassel ambazo zinakuwa na kamba kamba chini zinaweza kuwa za kamba au shanga nk.
Trend imeonekana hasa kwenye runways za wabunifu lakini pia hata kwa fashion bloggers na watu maarufu. Tumeipenda hii trend kwa sababu zinavalika popote na zinaendana na mavazi mbali mbali kama gauni,suruali,skirt etc.
trend ina tegemea na uendapo kuna zile fupi una weza kuvaa kazini, business meetings etc na kuna zile ndefu una weza kuvaa kwenye sherehe au dinner dates
Inakufanya uonekane chic na zina bright uso wako as nyingi zipo colorful japo unaweza kupata ambazo hazina rangi sana.
Tanzania unaweza kushop – @manyatta_101
https://www.instagram.com/p/BVzzRYZgHw9/?taken-by=manyatta_101&hl=en
pia zinapatikana – @enjipai
View this post on InstagramHow beautiful are these beaded Enjipai tassels 💛❗️NEW❗️available
A post shared by Since 2010🇹🇿 (@enjipaijewelry) on
Lakini pia – @accessories_tz
https://www.instagram.com/p/BWpqWXQnDIW/?taken-by=accessories_tz&hl=en
kusoma trend talk nyingine bonyeza hapa, na hapa until next tuesday xoxo
Related posts
HOT TOPICS
Happiness Magese Akionyesha Wanawake Warefu Namna Ya Kuwa Stylish: Kwa wanawake warefu huwa… https://t.co/VZ1jH2zJUg
FollowHappiness Magese Akionyesha Wanawake Warefu Namna Ya Kuwa Stylish: Kwa wanawake warefu huwa… https://t.co/689j7Yjcn0
FollowSubscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
Feza Kessy Atuelezea Kuhusu Fashion & Style Zake
Feza Tadei Kessy ni Muimbaji, Muigizaji lakini pia ni mtunzi wa nyimbo lakini pia Fezza ni former beauty queen ambapo mwaka 2005 alikuwa Miss Dar City Centre, Miss Ilala & Miss Tanzania Runner up. Lakini pia alishawahi kuwepo katika Reality Tv Show – Big Brother Africa. Kwa…