Ni jumanne nyingine ya kuongelea nini kina trend katika ulimwengu wa mitindo na urembo ni Led Eyelashes, hizi ni zile kope za bandia yes kwa muda mrefu zimekuwepo wakati zinaanza kuwekwa ilikua kichekesho maana zilikuwa zina bandikwa ndefu na zinaonekana kabisa hizi ni fake mtu anaonekana kama mdoll lakini kwa sasa zimeendelea kufanyiwa marekebisho ni ngumu kutambua mtu kama kabandika kope, sasa hizi Led eye lashes (Led kope) kwa sasa zimeongezewa kama taa kwa juu, Dunia ina mambo enhe? una weza kuwaza sasa hizi taa za kazi gani?
Hizi kope zina wire ambao unaenda nyuma ya sikio na huko ndipo utakapo weza kuwasha taa zako (kazi kweli kweli) mbunifu wa Kope hizi Tien Pham ambae amezipa jina la F Lashes amesema bado anaendelea kuziboresha ili kuondoa bugdha ya hiko ki-wire,
pia amesema zina sweat proof na hazi sababishi upofu “I often can’t tell if I have them turned on…you might see a bit of light when you walk in to a dark room but it’s not much. Zinakuja katika rangi saba na zinabadilika kutokana na movement zako na pattern ulizo vaa.
Tuambie je utakuwa tayari kuzijaribu? na kama ndio utaziweka ukiwa unaenda wapi? usisahau kusoma kinacho trend upande wa urembo kwa upande wa nywele kwa sasa click hapa
Related posts
5 Comments
Leave a Reply Cancel reply
You must be logged in to post a comment.
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
… [Trackback]
[…] Find More here on that Topic: afroswagga.com/urembo/trendytuesday-led-eyelashes-trendy-alert/ […]
… [Trackback]
[…] Find More here on that Topic: afroswagga.com/urembo/trendytuesday-led-eyelashes-trendy-alert/ […]
… [Trackback]
[…] Here you can find 32680 additional Info to that Topic: afroswagga.com/urembo/trendytuesday-led-eyelashes-trendy-alert/ […]
… [Trackback]
[…] Read More to that Topic: afroswagga.com/urembo/trendytuesday-led-eyelashes-trendy-alert/ […]
… [Trackback]
[…] There you will find 59596 additional Info to that Topic: afroswagga.com/urembo/trendytuesday-led-eyelashes-trendy-alert/ […]