Tui la nazi lina protini na mafuta ambayo vitasaidia kope zako kukua na kuwa ngumu zaidi. Matumizi ya mara kwa mara ya tui la yatasaidia ku-nourish na condition kope zako
Weka tui la nazi katika kibakuli kidogo tu liwe sio jingi, zamisha pamba ndani yake kisha zitoe na ukamue pamba zako kiasi ili kupunguza lile tui la nazi lililo zidi, fumba macho na weka pamba zako katika kope na uziache kwa dakika 10-15, ondoa pamba kisha anza kumassage jicho lakopolepole ili kusaidia mzunguko wa damu na kisha osha jicho lako kwa maji baridi.
Protini iliyopo katika tui la nazi itasaidia kukuza kope zako lakini pia kuzipa mg’ao, unaweza pia kuongezea mafuta ya mnyonyo (castor oil) katika tui la nazi lako na tumia brush ya mascara kupaka mchanganyiko huu katika nyusi zako.
Related posts
5 Comments
Comments are closed.
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
… [Trackback]
[…] Find More Information here to that Topic: afroswagga.com/urembo/tui-la-nazi-kwa-kope-ndefu-na-ngumu/ […]
… [Trackback]
[…] Read More Info here on that Topic: afroswagga.com/urembo/tui-la-nazi-kwa-kope-ndefu-na-ngumu/ […]
… [Trackback]
[…] Info to that Topic: afroswagga.com/urembo/tui-la-nazi-kwa-kope-ndefu-na-ngumu/ […]
… [Trackback]
[…] Information on that Topic: afroswagga.com/urembo/tui-la-nazi-kwa-kope-ndefu-na-ngumu/ […]
… [Trackback]
[…] Find More on that Topic: afroswagga.com/urembo/tui-la-nazi-kwa-kope-ndefu-na-ngumu/ […]