Unashauriwa kunywa maji kwa wingi na kisha kutumia njia zifuatazo iwapo unataka mikono na viganja kuwa laini;
- Njia ya kwanza
Weka sabuni ya maji ya kuoshea mikono, baada ya kuosha mikono, Kausha mikono yako vizuri
Chukua bakuli, weka chumvi vijiko viwili.
Ongeza vijiko viwili vya mafuta ya mizeituni.
kisha weka mchanganyiko huo kwenye viganja vyako kiasi cha ½ kijiko kisha sugua polepole.
Sugua ndani na nje ya viganja na ndani ya vidole na kucha.
Osha kwa maji ya uvuguvugu
Kisha kausha mikono kwa kutumia taulo kavu.
Malizia kwa kupaka losheni yako kama kawaida.

- Njia ya pili
Osha mikono na maji ya uvuguvugu na sabuni ili kuondoa mafuta na bakteria.
Kausha mikono na taulo kavu.
Chukua sukari vijiko 2 na mafuta ya mizeituni pia vijiko viwili.
Pakaa mikononi.
Sugua mikono yote kwa pamoja ndani na nje kwa kutumia mchanganyiko huo.
Osha mikono kwa maji ya uvuguvugu
Kausha mikono yako kisha upake rose water, Unaweza pia kutumia sunflower oil au mafuta ya nazi.
- Mambo muhimu ya kuzingatia
Usifanye mara moja ukategemea matokeo ya kudumu.
Paka baby oil au losheni kabla ya kulala.
Vaa glovu wakati unafanya kazi kama kuosha vyombo.
Tumia mafuta ya Vaseline.
Kwa mikono mikavu zaidi unaweza kulala na glovu baada ya kupaka losheni kwenye mikono yako.
Usiache mikono kwenye maji baridi kwa muda mrefu kwa sababu kufanya hivyo kunachangia kuondoka kwa mafuta na unyevu wa asili mikononi.
Shea na uwapendao
©binturembo
Related posts
7 Comments
Comments are closed.
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
… [Trackback]
[…] Read More Info here on that Topic: afroswagga.com/urembo/tumia-chumvi-na-mafuta-ya-mzeituni-kupata-mikono-laini/ […]
… [Trackback]
[…] Information on that Topic: afroswagga.com/urembo/tumia-chumvi-na-mafuta-ya-mzeituni-kupata-mikono-laini/ […]
… [Trackback]
[…] Info to that Topic: afroswagga.com/urembo/tumia-chumvi-na-mafuta-ya-mzeituni-kupata-mikono-laini/ […]
… [Trackback]
[…] Read More on on that Topic: afroswagga.com/urembo/tumia-chumvi-na-mafuta-ya-mzeituni-kupata-mikono-laini/ […]
… [Trackback]
[…] There you will find 82032 more Info on that Topic: afroswagga.com/urembo/tumia-chumvi-na-mafuta-ya-mzeituni-kupata-mikono-laini/ […]
… [Trackback]
[…] Information to that Topic: afroswagga.com/urembo/tumia-chumvi-na-mafuta-ya-mzeituni-kupata-mikono-laini/ […]
… [Trackback]
[…] Find More here on that Topic: afroswagga.com/urembo/tumia-chumvi-na-mafuta-ya-mzeituni-kupata-mikono-laini/ […]