Imekua tabia ya wanawake wengi kuweka kope za bandia lakini wakati mwingine hizi kope huleta madhara,macho kupofuka au kope kugoma kutoka. Leo tunawaletea njia rahisi ya kukuza nyusi/kope zako, haihitaji fedha nyingi kwa sababu vitu vinavyo tumika wengi tunavyo na pia haina madhara. Faida yake kubwa ni kwamba nyusi/kope zako zinakua zako moja kwa moja kwa hio muonekano huu ni wa milele.
safisha vizuri brush yako ya mascara ili kuondoa ule weusi wa mascara fuata hizo step tatu katika picha
kama ulikua ume vaa make up au ume paka mafuta yoyote nawa hata hivyo inabidi upake haya mafuta usiku
chukua brush yako na uiweke mafuta ya vaseline
kisha baada ya hapo paka mafuta yako kama ambavyo unavyo pakaga maskhara
fanya hivi kwa muda wa wiki na utaona matokeo unaweza kuendele kufanya mpaka pale utakapo ridhishwa na urefu wa nyusi/kope zako
Related posts
1 Comment
Leave a Reply Cancel reply
You must be logged in to post a comment.
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
… [Trackback]
[…] Read More Info here to that Topic: afroswagga.com/urembo/tumia-vaseline-kukuza-nyusikope/ […]