Tulio wengi tumezoea kutumia vipodozi mbalimbali vitengenezwavyo viwandani, Leo katika toleo hili maalum nataka tuangalie namna ambavyo tunaweza hudumia na kuitunza ngozi kwa kutumia viungo vya asili, nataka tuangalie ni namna gan mtu anaweza kutmia tende na limao/chungwa katika kutengeneza barakoa (mask) ya usoni.
- Katika kutengeeza barakoa hii tunahitajivitu viwili, ambavyo ni Tende
Hapa tunaweza anza kuziandaa tende zetu, tunahitaji tende tisa au nane kwa barakoa tunaanza na kuzitoa kokwa/mbegu tu, hatuna haja ya kuzimenya
- Lakini pia tutahitaji Limao/Chungwa
Tunahitaji nusu kipande tu ya limao letu kukamilishwa barakoa hii.
NINI CHA KUFANYA?
- Kamua kipande cha limao na kupata juisi yake
- Changanya mchanganyiko wa tende na juisi ya limao kisha tia kwenye kisagio, na usage
- Osha uso wako au hakikisha uso wako ni msafi, paka mchangayiko wako usoni kisha usugue kwa vidole vyako na uuache kwa muda wa dk 10
- Osha uso wako kwa maji ya baridi, kaushauso wako kwa kitambaa
- Furahia muonekano mpya wa ngozi yako
Related posts
3 Comments
Leave a Reply Cancel reply
You must be logged in to post a comment.
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
… [Trackback]
[…] Read More Information here to that Topic: afroswagga.com/urembo/tunza-ngozi-yako-kwa-viungo-asilia/ […]
… [Trackback]
[…] Here you will find 27343 more Information to that Topic: afroswagga.com/urembo/tunza-ngozi-yako-kwa-viungo-asilia/ […]
… [Trackback]
[…] Read More to that Topic: afroswagga.com/urembo/tunza-ngozi-yako-kwa-viungo-asilia/ […]