Sun Screen ni moja kati ya skin care product ambazo ni muhimu kupaka katika ngozi yako well na hii si summer tu au uendapo beach lakini inapaswa kupakwa mara kwa mara kwa sababu ina faida nyingi katika ngozi ( cha kushangaza watu/wa Africa wengi hatuna utaratibu wa kupaka sun screen) come rain come sun, sun screen ni skin care product unahitaji kupaka kila siku katika mwaka, with our weather ambapo muda mwingi ni jua “YOU NEED SUNSCREEN”
Labda unajiuliza sunscreen ni nini? Sun screen ni lotion au cream ambayo imetengenezwa kulinda ngozi na jua
- Inasaidia kukufanya uonekane kijana
Sababu namba moja ambayo husababisha kuzeeka mapema ni kutoka na kuacha ngozi wazi, miale ya jua inapiga moja kwa moja katika ngozi, lakini unapopaka sun screen inasaidia kublock ile miale ya jua kuingia moja kwa moja kwenye ngozi hii husaidia kupunguza kupata mikunjo ya uzee mapema.
- Inasaidia kuondoa/kutokupata madoa ya jua
Kama umeshawahi kuona au kusikia mtu kapatwa na yale madoa ya kuungua na jua anaweza kuwa mwekundu au brown katika ngozi kutokana na ngozi kupigwa na jua mara kwa mara, basi jibu la kuondokana na hali hii ni kupaka sun screen husaidia kutokupata madoa haya na kufanya ngozi yako iwe na rangi moja.
- Inapunguza hatari ya kupata cancer ya ngozi
Kupaka sunscreen katika ngozi hakukuepushi tu na hatari za urembo lakini pia inasaidia katika afya, sun screen huepusha ngozi yako na hatari za aina mbalimbali za kansa ya ngozi, hasa kansa aina ya melanoma. Hii ndiyo aina mbaya zaidi ya kansa ya ngozi, ambayo inaweza kuwa hatari kwa wanawake, hasa wale walio katika miaka yao ya 20.
Sunscreen zina faida nyingi nyingi lakini hizi ndizo tatu muhimu tulizoona tukuletee, well kuna aina nyingi za sun screen the best way kujua ipi inakufaa ni kwenda katika maduka ya vipodozi ambayo kuna dokta wa ngozi ndani yake anaye weza kukuelezea vizuri kabisa ni aina ipi inakufaa.
Related posts
5 Comments
Comments are closed.
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
… [Trackback]
[…] Find More Information here to that Topic: afroswagga.com/urembo/umuhimu-wa-kupaka-sunscreen-katika-ngozi/ […]
… [Trackback]
[…] Information on that Topic: afroswagga.com/urembo/umuhimu-wa-kupaka-sunscreen-katika-ngozi/ […]
… [Trackback]
[…] Read More here to that Topic: afroswagga.com/urembo/umuhimu-wa-kupaka-sunscreen-katika-ngozi/ […]
… [Trackback]
[…] Info to that Topic: afroswagga.com/urembo/umuhimu-wa-kupaka-sunscreen-katika-ngozi/ […]
meditation music
meditation music