SUBSCRIBE NOW

* Afromate kuwa wakwanza kupata updates zetu za kila siku!

Trending News

Subscribe Now

* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!

Trending News

Umuhimu Wa Kusoma Maelekezo Katika Kipodozi
Urembo

Umuhimu Wa Kusoma Maelekezo Katika Kipodozi 

Tunapoenda kwenye maduka ya vipodozi kununua vipodozi muuzaji atakwambia tu hiki kizuri kinafaa kwa ngozi yako, unakinunua na moja kwa moja unaanza kukitumia bila ya kusoma maelekezo yake ni vipi kinatakiwa kupakwa.

Ndani ya box la vipodozi kunakuwa na karatasi ambayo inatoa maelekezo yote ya kipodozi kimewekwa nini na kinafaa kupakwaje hii ni muhimu sana kuisoma,

Mfano mzuri ni juzi nilianza kutumia kipodozi kipya nilipewa maelekezo yote dukani lakini nilipofika nyumbani nikasema ngoja nisome “it won’t kill me kukipitia right?” nikasoma katika vyote muuzaji alivyonielekeza alisahau kuniambia kipodozi hiki hakifai kupakwa kama umetumia steam usoni na pia kama unakuwa exposed direct na jua.

Kama mtu ambae mara nyingi unatembea juani halafu ukapaka kipodozi ambacho hakifai kukaa nacho juani unaweza kubabuka au kuharibika ngozi, au ni mtu wa kufanya steaming uso ukafanya then ukapaka kipodozi hiki kunauwezekano mkubwa wa kupata madhara

Well let this set as a reminder kuwa mnasoma instructions kwenye vipodozi

Related posts