Una Tumia Kipodozi Gani? Nadhani ulisha wahi kuulizwa au kumuuliza mtu hilo swali, una weza kukutana na msichana mwenzio ana ngozi nyororo hana hata kipele uka tamani ujue ana tumia kipodozi gani ili na wewe uka tumie… hii ime kuwa kawaida kwetu sisi wadada bila kujali ngozi yako ya aina gani ukitajiwa tu natumia kipodozi fulani basi kesho na wewe una amka kwenda kununua.
Ngozi yako itakuwa nyororo na isiyo na vipele kama tu uta kula vizuri, kunywa maji vizuri na kutumia vipodozi vinavyo endana na ngozi yako, kuna aina tofauti tofauti za ngozi kwetu sisi binadamu, kuna wale wenye ngozi zenye mafuta na wale wenye kavu, huwezi kupata matokeo mazuri aliyo yapata mwenzio endapo yeye ngozi yake ni tofauti na yako, utakuta una ingia gharama kubwa kununua hicho kipodozi na kisilete mafanikio mwisho wake wengi wetu tuna sema fulani ana roho mbaya kani tajia kipodozi sio au duka fulani lina uza vitu feki kwa sababu tu huja pata yale matokeo uliyo kuwa una yategemea.
Kama una taka kipodozi ni vyema ukaenda kwa wataalamu wa ngozi ili upate msaada zaidi au tumia njia za asili ili kuepukana na madhara au kupunguza cost katika manunuzi ya vipodozi
njia rahisi za kupata ngozi nyororo na yenye afya ni pamoja na
1) tumia brush soft kujisugulia ngozi wakati wa kuoga, ni vizuri ukatumia natural brush kama dodoki, tumia brush hii kujisugua wakati ngozi yako ikiwa kavu na brush ikiwa kavu
b) oga maji ya uvuguvugu masafi
c) usitumie sabuni nyingi kwenye ngozi, sabuni nyingi zina makemikali ambayo yana weza kusababisha ngozi kuwa kavu sana, kubabuka etc pia ni vizuri kama uta tumia sabuni za asili kama sabuni za asali, manjano nk
d)hakikisha baada ya kuoga una paka mafuta immediately, ili kuifanya ngozi yako kuwa na unyevu.
2)Angalia unacho kula
kunywa maji mengi, kula matunda kwa wingi pia usinywe vitu ambavyo vina weza kuathiri ngozi yako kama kahawa nyingi, vilevi na chumvi nyingi
3) anza tabia ya kuacha kufanya ngozi yako kuonekana dull
a) tumia sunscreen kuepusa ngozi yako kupigwa na jua
b)usilale na make up
c)acha kutumia vipodozi vyenye kemikali nyingi
Related posts
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…