UREMBO KATIKA MSIMU WA RAMADHANI
Watu wengi wanahisi ngozi zao zinadhoofu na kukauka katika msimu wa Mwezi Mtukufu wa Ramadhani, lakini hii ni kwa sababu ya mabadiliko ya lishe katika mwili wako.
Ni nini ufanye ili uendelee kuwa mrembo katika msimu huu:
- Kunywa maji mengi: hiki ni kitu muhimu sana ambacho kila mtu ana takiwa kukifanya
- Oga maji ya uvugu vugu: usioge maji ya moto yana kausha ngozi,oga maji ya uvuguvugu
- Usile vyakula vyenye mafuta na usinywe soda: iftar ndo chakula chako cha kwanza katika siku kwaio ifanye kuwa mlo bora usifungue funga yako na soda na chakula chenye mafuta
- Kunywa chai ya kijani katika daku: kunywa chai ya kijani kuna kupa ngozi yako afya na inakupa pumzi nzuri siku inayo fuatia
- Kunywa maziwa ya mgando kila siku: inasaidia kukufanya ushibe kwa muda mrefu na inaipa ngozi yako afya
- Tumia viazi kuondoa weusi katika macho: kawaida tunaamka usiku sababu ya kula daku, kwaio ni lazima tupate weusi chini ya macho yetu eidha kwa uchovu au kukosa usingizi, kata viduara vya kiazi na weka katika macho yako kwa dakika 10-15 kila siku
Related posts
1 Comment
Leave a Reply Cancel reply
You must be logged in to post a comment.
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
… [Trackback]
[…] Find More on that Topic: afroswagga.com/urembo/urembo-katika-msimu-wa-ramadhani/ […]