Tumia dawa ya mswaki kuondoa chunusi, paka dawa ya mswaki sehemu yenye chunusi kabla ya kwenda kulala, rudia zoezi hili kila siku mpaka chunusi itakapo isha.
Tumia Baking Soda kung’arisha meno
chukua robo kijiko ya baking soda changanya na dawa mswaki, piga hakikisha huli wala kunywa chochote baada ya kutumia njia hii. Fanya hivi mara moja kwa wiki.
njia nyingine ni kuchukua ganda la chungwa na tumia kule ndani kweupe kusafishia meno yako fanya hivi kila siku kabla ya kwenda kulala kwa wiki nzima
Tumia Wax ya sukari kuondo nywele usizo zitaka
unaweza ukawa na nywele juu ya midomo,miguuni au popote na zina kukera huzitaki ila kunyoa na kiwembe una ogopa mapele basi njia hii inaweza kukusaidia,
changanya vijiko viwili vya sukari, kijiko kimoja cha asali na kijiko kimoja cha maji
pasha moto kwa dakika 20 hadi 30 ina weza ikawa kwenye micro wave au jiko la kawaida
iache ipoe kisha tumia kijiko au kijiti kupaka mchanganyiko wako kwenye sehemu ambapo una taka nywele hizo ziondoke
tumia kijipande cha nguo kufunikia wax yako hapo ulipo ipaka
kisha toa kipande iko cha nguo kwa nguvu ili kuondoa nywele hizo
Related posts
3 Comments
Leave a Reply Cancel reply
You must be logged in to post a comment.
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
… [Trackback]
[…] Read More Information here to that Topic: afroswagga.com/urembo/urembo-rahisi-utakao-kufanya-u-save-hela/ […]
… [Trackback]
[…] Find More Information here on that Topic: afroswagga.com/urembo/urembo-rahisi-utakao-kufanya-u-save-hela/ […]
… [Trackback]
[…] Read More Information here on that Topic: afroswagga.com/urembo/urembo-rahisi-utakao-kufanya-u-save-hela/ […]