2016 Unahitaji kubadilika kuna urembo mwingine umesha pitwa na wakati ni wa kuuacha tu 2015
Faux Piercings/ kidani cha pua
mara ya kwanza zilivyo ingia kila mtu alikua ana zitamani hasa baada ya watu kama Rihanna kuvivaa lakini sasa zilivyo sambaa zikawa nyingi mno mpaka zinachosha hii ibaki tu 2015.
Kylie Jenner Lip Challenge
ilishika sana chat lakini ilileta madhara makubwa watu waliumia wakalazwa, wewe ni mzuri hivyo ulivyo usijaribu kuwa kama mwingine ya kylie muachie kylie.
Contouring
2015 wengi tumependa kujua jinsi make-up inavyo fanya kazi na technique ya Contouring huwezi kuikimbia lakini 2016 tunaomba Makeup Artist wabuni kitu kingine zaidi ya hiki kwa maana Contouring nyingi inaonekana kipindi cha mchana na si kitu cha kumshauri mtu kupaka hasa wakati wa mchana.
Bubble nails
hii ilikuja na kuondoka tunaomba isirudi tena
Related posts
1 Comment
Leave a Reply Cancel reply
You must be logged in to post a comment.
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
… [Trackback]
[…] There you can find 52921 additional Information on that Topic: afroswagga.com/urembo/urembo-wa-kuupotezea-2016/ […]