AINA YA NGOZI ni kitu muhimu sana kujua ngozi yako ni ya aina gani kama ni ya mafuta au kavu, na kama ni ya mafuta katika msimu huu wa baridi una takiwa kupaka kwanza mafuta au lotion unayo itumia kabla ya kupaka vipodozi na kama ni kavu unakiwa kupaka mafuta/lotion kidogo.
Tumia foundation ya kimiminika/mafuta katika sura yako ili kupata muonekano laini, kwa sababu kwatika kipindi cha baridi ngozi hupauka.
baada ya kupaka foundation paka poda ili kupata muonekano mzuri
chagua vipodozi vya macho/vivuli vya macho vilivyo tulia kama rangi ya kahawia au kijivu kupaka juu ya sehemu ya jicho lako ili kupata muonekano mzuri ulio tulia.
tumia blush ambayo itang’aza ngozi yako ili usipate kuonekana ume pooza
tumia mascara nyeusi kupaka kwenye kope zako za juu na chini
Related posts
1 Comment
Leave a Reply Cancel reply
You must be logged in to post a comment.
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
… [Trackback]
[…] Read More on that Topic: afroswagga.com/urembo/vipodozi-gani-uvae-katika-msimu-huu-wa-baridi-kipupwe/ […]