Huwa tunatumia gharama kubwa sana kufanya miili yetu kuwa na muonekano mzuri, tunatumia madawa mbali mbali yanayo uzwa bei ghari ili tu kupata muonekano mzuri, lakini kuna baadhi ya vitu hivi sio vizuri katika miili vina ma kemikali mbali mbali ambayo yanaweza kutudhuru, ina weza ikawa sio papo kwa papo lakini mbeleni una weza kupata magonjwa tofauti tafauti yaliyo sababishwa na vipodozi hivyo.
LAKINI kumbe una weza kutumia vitu vya asili ambavyo una vitumia kila siku nyumbani kuondokana na gharama hio pia na kuepukana na matokeo mabaya ya vipodozi vya kutengenezwa viwandani.
1) Tumia strawberry kuondoa chunusi
Strawberry ni tunda ambalo hupatikana sana Tanzania una weza ukakuta mtu tu ana tembeza barabarani na mara nyingi huanzia elfu 3000-1000 kwa kikopo,Strawberries ina contsalicylic acid ambayo acid hii pia hutumika kutengenezea madawa mengi viwandani lakini ya kwenye strawberry ni natural haija ongezewa makemikali mengine tumia kupaka katika chunusi na utapata kuondoa chunusi zako bila gharama.
2)Tumia Asali kama ku – condition nyele zako
kwa sasa watu wengi wame amka na kutaka kuwa na health hair lakini pia kama ilivyo kwa madawa ya usoni bidhaa hizi za nywele pia zina weza kukubali na kukukataa lakini kumbe unaweza kutumia asali ambayo karibu kila nyumba Tanzania inayo na huuzwa kuanzia 700-15000, asali ina weza ku moisturize nywele zako pia ni antifungal properties kwaio ina weza kuondoa m’ba kichwani, chukua asali massage katika ngozi ya kichwa na kisha osha kwa maji vuguvugu.
3)tumia baking soda kama shampoo
japokuwa baking soda nyingi siku hizi hutengenezwa viwandani lakini pia si bei ghali kama hizi shampoo zetu, chukua vijiko viwili vya baking soda changanya na maji kikombe kimoja osha nywele zako itaondoa uchafu pia kuondoa m’ba
4)Tumia mafuta ya nazi kama shaving cream
acha kununua shaving cram za bei ghali, chukua mafuta ya nazi tumia kama unavyo tumia katika shaving cream za kawaida na itaacha ngozi yako soft na smooth
5) Tumia Asali na Limao kuondoa madoa meusi
Ukitumbua kipele kuna yale madoa meusi hubakigi huwa yanaboha na hasa ukitoa ina baki shimo, chukua asali kidogo weka katika kipande cha limao na sugua sehemu ilipo athirika acha kwa dakika 5 kisha osha, itachukua muda kidogo kwa kuondoa itabidi urudie rudie ili kuweza kupata matokeo mazuri
Related posts
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…