Vipodozi vya kudumu ni vile vipodozi ambavyo watu hupaka/huchora na vina kaa kwa muda mrefu (permanent cosmetics) kwa kusema kukaa muda mrefu si vile tume zoea masaa 24 hapana bali vipodozi hivi vina weza kuchukua miezi kutoka ni kama tattoo, vipodozi hivi haviwezi kufutika (kama wanja wa nyusi), lakini pia ngozi huwa ina utaratibu wa kijisafisha natural kila baada ya siku 30 kwaio ni lazima vipodozi hivi vya kudumu vita futika kwa kidogo kidogo, na kufutika kwake pia ni kitu kizuri as mitindo hubadilika mara kwa mara na pia huwezi kuzeeka ukiwa na wanja wa lulu usoni.
kwanini uweke kipodozi cha kudumu?
- kutokua na muda wa kupaka make up kila siku
- wale wenye matatizo ya kukatika kwa nywele pia wana weza kufanya permanet cosmetics
- kuna wale watu wenye ngozi za mafuta make up zao ufutika mara kwa mara hii ita saidia kuepukana na usumbufu huo
- wanamitindo
- kuna wale ambao wana penda kupendeza kila saa hata wakitoka kuamka
- wenye matatizo ya macho wana weza kuweka permanent lens
mara nyingi watu huweka nyusi za kudumu na hii ni kutokana na kuepuka usumbufu wa kuanza kupaka wanja kila siku na hii imeonekana kushika chati sana kwa sasa, pia ina weza kufanyika sehemu mbali mbali kama midomo nk.
je inauma?
ina tegemea na ngozi yako kuna wengine haziumi na kuna wengine zinaumana huchukua siku 4 hadi 7 kupona (zisizo uma ni kama kupaka piko)
jinsi ya kutunza nyusi zako hadi zipone
-Usikae nazo katika sehemu yenye joto au baridi kupitiliza
-usipake kipodozi cha aina yoyote kwa muda wa siku tatu
-usikune wala kushika shika sehemu ya nyusi zako
– usipake mafuta ya aina yoyote kwenye nyusi
unaweza kuangalia video hapo chini ni jinsi gani mlolongo huu ufanyika
Related posts
6 Comments
Leave a Reply Cancel reply
You must be logged in to post a comment.
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
… [Trackback]
[…] Info on that Topic: afroswagga.com/urembo/vipodozi-vya-kudumu/ […]
… [Trackback]
[…] Read More Information here on that Topic: afroswagga.com/urembo/vipodozi-vya-kudumu/ […]
… [Trackback]
[…] Find More Information here to that Topic: afroswagga.com/urembo/vipodozi-vya-kudumu/ […]
… [Trackback]
[…] Read More on on that Topic: afroswagga.com/urembo/vipodozi-vya-kudumu/ […]
… [Trackback]
[…] Find More to that Topic: afroswagga.com/urembo/vipodozi-vya-kudumu/ […]
… [Trackback]
[…] Info to that Topic: afroswagga.com/urembo/vipodozi-vya-kudumu/ […]