Kama mwanamke au msichana wa kisasa na unapenda kuonekana stylish hivi ni vitu sita muhimu kwako kuwa navyo ambavyo ukifika kokote au ukitembea watu wakikuangalia watakuona stylish,
MKOBA, hakikisha una mikoba miwili au mitatu ambayo ni mizuri yenye rangi ya kuvutia inaweza ikawa size na rangi tofauti, mkoba ni moja ya urembo ambao mwanamke stylish hatakiwi kukosa husaidia kuweka urembo wako kama cheni, hereni na vingine.
MAWANI: hakuna mwanamke stylish ambae hana urembo huu ukiachana na kukufanya uonekane stylish pia husaidia kukinga ngozi dhidi ya jua na kubadilisha muonekano wako mzima.
SAA YA MKONONI: Huwezi kuwa stylish bila ya kuwa na saa ukiachana na kukuonyesha stylish ila pia husaidia kukufanya kuonekana mwanamke makini ambae unaenda na muda.
VIATU: Chagua viatu vizuri mtu yoyote akikutana na mwanamke cha kwanza kuangalia ni viatu hio humpa jibu la wewe ni mwanamke wa aina gani, hakikisha kila siku kila unapo kwenda uwe umevaa viatu vinavyo kupa muonekano wa kistylish
BANGILI: hukupa ile hali ya uanamke jaribu kuwa nazo za size tofauti na rangi tofauti tofauti, nyingi kadri ya uwezo wako.
BELT: belt huzaliwa almost na mavazi yote kuwa nayo mengi uwezavyo.
Related posts
5 Comments
Leave a Reply Cancel reply
You must be logged in to post a comment.
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
… [Trackback]
[…] Read More to that Topic: afroswagga.com/urembo/vitu-6-muhimu-mwanamke-kuwa-navyo/ […]
… [Trackback]
[…] Here you will find 56588 more Information to that Topic: afroswagga.com/urembo/vitu-6-muhimu-mwanamke-kuwa-navyo/ […]
… [Trackback]
[…] There you can find 42626 additional Information to that Topic: afroswagga.com/urembo/vitu-6-muhimu-mwanamke-kuwa-navyo/ […]
… [Trackback]
[…] Find More to that Topic: afroswagga.com/urembo/vitu-6-muhimu-mwanamke-kuwa-navyo/ […]
… [Trackback]
[…] Information to that Topic: afroswagga.com/urembo/vitu-6-muhimu-mwanamke-kuwa-navyo/ […]