Low cut ime kuwa a hit kwa sasa maana asilimia kubwa ya watu maarufu bongo wamenyoa nywele na kuacha nywele fupi, wakiwepo hawa watatu Jacqueline Wolper, Shaa na Feza Kessy.
sio kitu rahisi sana kumkuta msichana/mwanamke kakata nywele zake na yuko proud kuonyesha kwamba kanyoa, wengi wetu tunapenda nywele ndefu tukihisi zina tupendeza zaidi, lakini una wezaku rock low cut na pia ukanoga tu kama hawa
tunaanza na Jacqueline yeye ana badilisha badilisha rangi mara blonde, mara nyeusi kawaida ili mradi ana cheza na nywele zake. Zinamoendeza mno na ana zipatia kustyle
Feza Kessy nae kama Jacqueline ana badilisha rangi now and then, and she real looks good on low cutsĀ
Shaa yeye amekata tu nywele na kuwa blond, rangi inaendana na her skin tone pia ame pendeza mno
Related posts
6 Comments
Leave a Reply Cancel reply
You must be logged in to post a comment.
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
… [Trackback]
[…] Here you will find 42101 more Information to that Topic: afroswagga.com/urembo/watu-maarufu-wakiwa-katika-low-cut-hairstyle/ […]
… [Trackback]
[…] Here you can find 52703 additional Info to that Topic: afroswagga.com/urembo/watu-maarufu-wakiwa-katika-low-cut-hairstyle/ […]
… [Trackback]
[…] Read More Info here to that Topic: afroswagga.com/urembo/watu-maarufu-wakiwa-katika-low-cut-hairstyle/ […]
… [Trackback]
[…] Read More Information here on that Topic: afroswagga.com/urembo/watu-maarufu-wakiwa-katika-low-cut-hairstyle/ […]
… [Trackback]
[…] Info to that Topic: afroswagga.com/urembo/watu-maarufu-wakiwa-katika-low-cut-hairstyle/ […]
… [Trackback]
[…] Find More on that Topic: afroswagga.com/urembo/watu-maarufu-wakiwa-katika-low-cut-hairstyle/ […]