Weekend’s are for wedding’s, kama unamualiko wa harusi weekend hii na bado unawaza ni makeup gani upake au mtindo gani wa nywele una kupasha uweke basi hapa ndipo Make Up Artist Grace Malikita au CherieMals anapo jaribu kukuonyesha nini ufanye.
Kwa upande wa nywele Grace made it easy kwa kufunga gele la kitenge, sio wote wenye uwezo wa kununua ma wig expensive na muda mwingine ungeenda kutokuwa na mambo mengi kichwani. Unaweza kupendeza kwa kufunga Gele lako zuri kabisa la kitenge.
View this post on InstagramA post shared by ChërÃê Máls (@cherie_mals) on
lakini tulichopenda zaidi ni yeye kutupa option mbili za vipi unaweza ku-make up mtoko wako wa harusi huku umevalia Gele ilo ambapo ametuonyesha kama sio mpenzi wa bold colors unaweza kupaka nude lipstick,
Lakini pia akawapa option wale ambao wanapenda bold lipstick yeye alichagua kwenda na bold red lipstick.
Tuambie kama wewe ndio mgeni mualikwa je ungechagua muonekano upi kati ya bold na nude?
Related posts
1 Comment
Comments are closed.
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
… [Trackback]
[…] Find More to that Topic: afroswagga.com/urembo/wedding-makeup-inspiration-by-makeup-artist-grace-malikita/ […]