Its take a bold woman to cut her hair, and when she does that know that there are changes she is trying to make in her life, tumezoea kuona watu maarufu wengi waki-spend pesa zao kwenye nywele za bei ghali lakini kwa sasa tunaona wengi wao wameamua ku-embrace the low cut life na ku-slay nywele zao the way they are. Watu kama Wema Sepetu, Miriam Odemba, Rosa Ree, Nancy Sumari, Nina roz kutoka Uganda na Joyce Kendi Kutoka Kenya wameonekana kutuonyesha jinsi ambavyo unaweza kupendeza ukiwa na nywele fupi
Le Madame Wema Sepetu yeye ameonekana kupenda low cut siku hizi na amesema kabisa hii ndio style yake ya 2019, tunachopenda ni namna amabavyo ana confidence nayo na anatufanya mpaka sisi wengine tutake kukata nywele zetu, week hii tumemuona akiwa amependeza na hii makeup those bows unaweza kuombea mkopo bank, nude makeup na amemalizia na statement earrings
Mwanamitindo Miriam Odemba yeye she always on low cut anapendeza nazo sana safari hii tumeona akiwa na blonde cut style, amemalizia muonekano wake na dark eye shadow na red lipstick,that highlighter can brighten your day.
Nancy Sumari is all smiles in her low cut with nude lipstick
Rosa Ree yeye ana new Hair do ambayo ni kiduku chenye rangi ya rose gold, na yeye ametuonyesha how to be bold kwenye hii hair style kwa kupaka bold lipstick ya blue na akamalizia na big hoop earrings, count on Rosa for the bold and uniqueness
Mwanadada kutoka Uganda Nina Roz yeye ametupa wedding guest vibes na hii low cut yake ambapo yeye ameweka platnum blonde color, akamalizia muonekano wake na red lipstick na accessories nyekundu, well we can real attend a wedding with this style.
Wakati blogger kutoka Kenya Joyce Kendi yeye nae ana blonde cut na aliamua kuwa na no makeup makeup look, we need her skin routine because baby girl is smooth.
Well afromates umevutiwa na nani zaidi?
Related posts
2 Comments
Comments are closed.
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
… [Trackback]
[…] Read More here to that Topic: afroswagga.com/urembo/wema-sepetu-rosa-ree-miriam-odemba-and-many-more-slaying-the-low-cut-hair-style/ […]
… [Trackback]
[…] Find More on to that Topic: afroswagga.com/urembo/wema-sepetu-rosa-ree-miriam-odemba-and-many-more-slaying-the-low-cut-hair-style/ […]